Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni mjinga sn huyo mzeeAbass anaonekana mshamba bado..
Arrogance..na entitlement vinamsumbua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mjinga sn huyo mzeeAbass anaonekana mshamba bado..
Arrogance..na entitlement vinamsumbua
Kingereza ni lazima mkuu kwa kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu.Umepata study tour ya kwenda Uingereza kwa mfano,unafanyaje?Jamani Watanzania tukoje,mbona tunakuwa short sighted sana.Na kwa nini wengine waweze,wengine wasiweze.Afrer all Kingereza ni lugha tu, ambayo mtu anaweza kujifunza akiwa determined, there is nothing impossible.Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.
Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.
Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.
Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....
1. A lot of reforms is going on now in our Ministry
2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry
3. A lot of reforms are going on now in our Ministry
4. There are lots of reforms going on now in the Ministry
Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.
Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.
Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Hivi PhD ndo alisomea pale Malimbe?Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.
Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.
Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.
Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....
1. A lot of reforms is going on now in our Ministry
2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry
3. A lot of reforms are going on now in our Ministry
4. There are lots of reforms going on now in the Ministry
Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.
Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.
Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Absolutely right indeed, no wornders in english.I really appreciate your encouragement you have given to me.
I believe my efforts to improve my language competence and performance won't be in vain.
Looh!! Mkuu kwa vile ni kuongea ukaona "miner" haina ukakasi badala ya "minor" kwa sababu tu unatamka sawa?!!Miner grammatical errors are allowed when we speak than when we write. Kweli cha muhimu kaeleweka.
Mshamba kama wewe vile yaaniAbass anaonekana mshamba bado..
Arrogance..na entitlement vinamsumbua
Zote sawa tu, ilimradi ameeleweka.
Nyani NgabuJana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.
Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.
Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.
Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....
1. A lot of reforms is going on now in our Ministry
2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry
3. A lot of reforms are going on now in our Ministry
4. There are lots of reforms going on now in the Ministry
Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.
Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.
Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
kwahiyo "minor" na "miner" ni written au spoken?Miner grammatical errors are allowed when we speak than when we write. Kweli cha muhimu kaeleweka.
Jaribu kuandika hiyo namba 4 ukiweka "a" kama unavyopendekeza Mkuu.No 3 imekaa vizuri zaidi. No 4 Ingekuwa sahihi kama kungekuwa na a kwenye lots... Sahihi zaidi Ingekuwa alot..
Huyu jamaa huwa yuko kisiasa kwa kila jambo. Hapo anaona unamkosoa Dr. Abbas ambaye ni mtu wa serikali ya CCM na kumbuka aliibuliwa kwa mara ya kwanza na "Shujaa wa Afrika" kuwa msemaji mkuu wa serikali, kabla ya sasa kuwa Katibu mkuu wa Wizara ya Habari.Wapishe Intellectuals hapa JF waujadili huu Uzi tafadhali na acha Kunipotezea muda. Na sijifanyi tu najua bali ninajua kweli kweli Mpuuzi Mmoja Wewe.
There is a lot of reforms going on now in the ministry..Jaribu kuandika hiyo namba 4 ukiweka "a" kama unavyopendekeza Mkuu.
Ni lini umewahi kuwa Einstein hapa JF?Huyu mkenya yuko vizuri hukosoa statement nyingi za viongozi zikiwa na kiingerezza kibovu
Hapa alisahihisha statement ya Raisi wa Ghana
View attachment 1768510
Grammatically hiki ni Kiingereza sahihi?There is a lot of reforms going on now in the ministry..
Pole Dkt. Abbas, ila haukijui Kiingereza.mkuu, umeamua kupoteza muda kiasi hiki??
jamii ya kitanzania 90% hawajui kiingereza, hata wanaodhani wanajuan hawajui
so why waste time kujadili kapatia au kakosea
Imagine kakosea sasa, SO WHAT?
Kuwa kama kakosea grammar unaondolewa ukatibu mkuu?
umesoma wapi?? TZ unafundishwa kwa kiingereza mna discuss kwa kiswahili,🤣🤣
Abbas anakuwa katika 90% ya wasiokifahamu, wala wana WASILIANA kwa hiyo lugha
Last time i checked, hata calfornia chelsea, sydney na Toronto wanakosea grammar kwenye kivuli cha 'common mistakes'
If this is your come back, tafuta Topic za maana au tulia kwanza