Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Kingereza ni lazima mkuu kwa kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu.Umepata study tour ya kwenda Uingereza kwa mfano,unafanyaje?Jamani Watanzania tukoje,mbona tunakuwa short sighted sana.Na kwa nini wengine waweze,wengine wasiweze.Afrer all Kingereza ni lugha tu, ambayo mtu anaweza kujifunza akiwa determined, there is nothing impossible.
 
Don't judge them because real life English is different from the English we learn in schools.Huwezi ukawa sawa na "native language speakers"kwenye "foreign language"💪🇹🇿👍
 
No 3 imekaa vizuri zaidi. No 4 Ingekuwa sahihi kama kungekuwa na a kwenye lots... Sahihi zaidi Ingekuwa alot..
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Hivi PhD ndo alisomea pale Malimbe?
 
Miner grammatical errors are allowed when we speak than when we write. Kweli cha muhimu kaeleweka.
Looh!! Mkuu kwa vile ni kuongea ukaona "miner" haina ukakasi badala ya "minor" kwa sababu tu unatamka sawa?!!
 
Zote sawa tu, ilimradi ameeleweka.

Huu ulioweka hapa ni ujinga. Kuna formula moja ujue, kama kuna vitu viwili au vitatu na vinaonekana kuwa tofauti kuna mawili i) vyote vinaweza kuwa sio sahihi au ii) kimoja tu ndio kinaweza kuwa sahihi.

Kueleweka au kutoeleweka ni kitu kinachoweka kutokea hata kwa kutumia lugha kwa usahihi. Kueleweka sio jambo lililo katika control ya msemaji!! Umeleta mada nyingine kabisa.
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Nyani Ngabu
 
Wapishe Intellectuals hapa JF waujadili huu Uzi tafadhali na acha Kunipotezea muda. Na sijifanyi tu najua bali ninajua kweli kweli Mpuuzi Mmoja Wewe.
Huyu jamaa huwa yuko kisiasa kwa kila jambo. Hapo anaona unamkosoa Dr. Abbas ambaye ni mtu wa serikali ya CCM na kumbuka aliibuliwa kwa mara ya kwanza na "Shujaa wa Afrika" kuwa msemaji mkuu wa serikali, kabla ya sasa kuwa Katibu mkuu wa Wizara ya Habari.

Hawa wafuasi wa "Shujaa" kama ambavyo hawakutaka shujaa wao akosolewe au wasivyotaka akosolewe hata sasa, ndivyo wasivyopenda "wateule wake" wakosolewe, hasa wale ambao bado wanabeba mabango ya kumtukuza mwendazake, kama alivyo huyu Dr. Abbas.
 
mkuu, umeamua kupoteza muda kiasi hiki??

jamii ya kitanzania 90% hawajui kiingereza, hata wanaodhani wanajuan hawajui

so why waste time kujadili kapatia au kakosea

Imagine kakosea sasa, SO WHAT?

Kuwa kama kakosea grammar unaondolewa ukatibu mkuu?

umesoma wapi?? TZ unafundishwa kwa kiingereza mna discuss kwa kiswahili,🤣🤣

Abbas anakuwa katika 90% ya wasiokifahamu, wala wana WASILIANA kwa hiyo lugha

Last time i checked, hata calfornia chelsea, sydney na Toronto wanakosea grammar kwenye kivuli cha 'common mistakes'

If this is your come back, tafuta Topic za maana au tulia kwanza
Pole Dkt. Abbas, ila haukijui Kiingereza.
 
Back
Top Bottom