Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Sentensi namba 1 ina walakini kushindwa kushindwa kutofautisha wingi (plural) na umoja (singular) zingine kuanzia 2-4 zina afadhali ijapokuwa sio katika unyoofu wa kiingereza halisi (native English)

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry
Kwahiyo chako Wewe bora 100% ni kipi?
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Kwanza reforms ikishakuwa "a lot of" inapoteza uhalisia. Kwanini isiwe tu "there are reforms going on in our ministry"

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Ya kwanza in upungufu katika 'grammar'. Zingine zinaunafuu kwenye 'grammar' na 'spelling' lakini haziko kwenye 'native English' kwahiyo sina yoyote yenye usahihi asilimia mia
Sasa kama kumbe hata Wewe Mwenyewe huna ( hujui ) iliyo sahihi unapata wapi Uhalali wa Kukosoa zingine na ukaeleweka pia Logically hapa Jamvini JamiiForums na Great Thinkers?
 
Naomba kujua kiwango chako Cha elimu Gentamicin ? Kuna Gentamicin inj ya 40 na 80 mg nafikiri wewe Ni 40 mg
Nimeishia tu Darasa la Saba Mkuu ila nashangaa ni kwanini Mwenyezi Mungu 'Kanibariki' na Upeo mkubwa unaokuzidi Wewe na hata hawa wenye hizi 'Doctorates' zao huku Lugha Muhimu na ya 'Kimkakati' duniani ikiwashinda na wanaishia kutoa 'Maboko' kila Uchao.
 
Kina ubora gani chuo chenu hicho cha kata? Chuo bora nchini kinajulikana, hakihitaji kupigiwa debe.
Kwa miaka 15 sasa Chuo Kikuu ambacho kinazalisha Candidates ambao si tu wako Excellent Academically lakini pia hata Kivitendo ( Kiutendaji ) popote pale walipo wanafanya vizuri mno ni wa kutoka Chuo cha SAUT. Hili nina uhakika nalo 100% ukibisha ( ukilibishia ) utakuwa umeamua tu.
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Alternatives:

  • Much reform is going on
  • Big reform is ...

Jumuiko la mabadiliko ya vitu vingi yanatengeneza hiyo 'reform'. Siyo kila badiliko likichukuliwa kipekee ni 'reform' ingawa ni kweli kunaweza kukawa na 'reform' iliyotokana na badiliko moja tu. Hapa naona inaashiriwa kulikuwa na mabadiliko mengi yaliyoleta hiyo reform moja.
 
Kumbe mtoa mada na wewe hujui kidhungu!! Mh. Yuko sawa kwa vyote gramma na semantic.

Kula shule kwanza:

“A lot of Reforms is going on now in our ministry “ tuigawanye hii sentensi katika kiima (subject) na kiarifu (predicate).
Kiima = “A lot of reforms” kiarifu = “is going on now in our ministry.” Neno “a lot” humaanisha wingi wa vitu visivyohesabika, na unapotendesha neno kama hilo kitenzi kiunganishi huwa ni ‘is’ mf. I saw ‘a lot’ of snow fall.....

hivyo, basi, tunaweza kusema mh. amemaanisha kuwa ‘kuna wingi usiyohesabika wa mabadiliko yanayofanywa ndani ya wizara yetu hivi sasa.’

sio sawa kusema ‘a lot of....are going on....’
 
Back
Top Bottom