Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Mie bado naamini yupo sahihi kwa sababu alishindwa kucount hayo ma-reforms ndio maana akatumia a lot na is kwa wakati mmoja, so hata kama kuna makosa lakini sio dhahiri kiasi cha mtu kukosoa, bado ni debetable kwakweli
Poor soul! Ukishasema ^a lot of,^ automatically countable noun husika lazima ifuatiwe na kitenzi katika wingi.
 
Poor soul! Ukishasema ^a lot of,^ automatically countable noun husika lazima ifuatiwe na kitenzi katika wingi.
So unaona hata sisi hapa tunabishana kuhusu hiyo inaonekana ni technical sana, kwa hiyo katika kiingereza cha kuongea yupo sahihi, na hata kama hayupo sahihi bado sio suala kubwa kiasi kukosoa kuwa hajui kiingereza
 
Mhh, mtanikuta mbele nawasubiria

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…