TANZIA Dkt. Abraham Katesigwa afariki dunia wilayani Ngara

TANZIA Dkt. Abraham Katesigwa afariki dunia wilayani Ngara

Kifo hakiangalii wanaowanga au watu gani, sote tutakufa kila mtu kwa siku yake. Kwanini mnaogopa kifo hivi?!

Kupunguza vitambi nayo hata kwa kufanya mazoezi mnasubiri mpaka rais atoe tamko?!

Nani kakwambia tunaogopa kufa?

Unatambua tofauti ya kuogopa kufa na kutokimbilia kufa?

Wanaoogopa kufa ni wale waliotanguliza mitutu na walinzi kede kede kuwalinda huku wakitwambia sisi tumtangulize Mungu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Ugonjwa walete wengine,lawama atupiwe mwingine.chukua tahadhari mkuu,corona inaua.

Una maana huyu si wa kulaumu:

IMG_20210218_173848_589.jpg


Ila wa kupongezwa?

Something must be very wrong somewhere.
 
"Corona iamue moja, kuondoka nchini au ibaki kwa heshima" Alisema Humphrey Polepole
 
Lazima lawama zimpate hakuna hamasa wananchi wapo wapo tu, waka jana ilikuwa huwezi kuingia stand, office za umma bila kunawa na kupimwa joto, ilisaidia sn.
Najua ilisaidia ndio.sasa wapi ulisikia anapiga marufuku hayo yasifanyike!!??mi nadhani ni mindset ndo shida,watu mmezoea kila Jambo mpaka uambiwe ,au ulazimishwe kufanya hata Kama nikwa faida yako.nonsense...!!! Kama unajua afya nikwa faida yako ,kwa nn usichukue tahadhari binafsi!!?? Serikali ilitoa mwelekeo mwanzo ,kunawa mikono,kuvaa barakoa, social distance,jifukize n.k, Nini kipya zaidi kinahitajika ? chukua tahadhari corona inaua, enough.njaa yako mwenyewe. unataka mpaka ulazimishwe kula!!??
 
Matatizo yako ya kiafya una mlaumu vipi magufuli?
Anadai barakoa zinazotoka nje haziaminiki huenda zina corona,hajui wale wazungu walijazana zenji January wametuachia upupu.

Hawakupimwa wale so tuliangalia dola.
 
Nani kakwambia tunaogopa kufa?

Unatambua tofauti ya kuogopa kufa na kutokimbilia kufa?

Wanaoogopa kufa ni wale waliotanguliza mitutu na walinzi kede kede kuwalinda huku wakitwambia sisi tumtangulize Mungu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Ohooo.
 
Back
Top Bottom