Hivi huwa hujitambui kuwa wewe ni mchawiKwa bandiko lako utakuwa ni mwanga. Kama si leo basi angalau uzeeni. Bandiko kama hili ni sahihi kuungwa mkono na wanga wenzio tu.
Kwenu huyu kufa ni sawa. Ndiyo ilivyo haswa hulka ya wanga wote.
Apumzike kwa amani Dkt. Katesigwa.