Atakuwa MzanzibariDaah! tutapata nani mwingine wa kutupiga kamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa MzanzibariDaah! tutapata nani mwingine wa kutupiga kamba.
Ubunge Korogwe 2025 jipangeniDaah! tutapata nani mwingine wa kutupiga kamba.
Mbona sisi kwetu tumeshikilia kisomonila bado tunaaibika Mjini?Kina kijazi walishikilia kisomo hasa
p bloody...kuna yule marehemu kijazi na yule alokua sekta ya utalii..somebody kijazi..wamefanana balaaAna uhusiano na yule kijazi mwenye flyover?
Hivi una akili timamu kweli, yani unataka ugonjwa uliomwondoa marehemu uanikwe hapa kwenye mitandao ya jamii?Aisee pole zake kwakweli sikujua kabisa alikuwa jirani yangu sana pale bunju sema ndo hvyo aisee dah pole zake nyingi Sana nn ilimchukua mkuu
Nimecheka kama mwehuDaah! tutapata nani mwingine wa kutupiga kamba.
Alistaafu kwanza kwa early/ voluntary retirement mwaka juzi, hivyo hata umauti umemkuta anajiuguza. Siwezi kujua chanzo jAisee pole zake kwakweli sikujua kabisa alikuwa jirani yangu sana pale bunju sema ndo hvyo aisee dah pole zake nyingi Sana nn ilimchukua mkuu
Kuna mwingine ni lecturer pale cbe ni somebody kijazi ni PhD holderKuna mwingine n somebody kijazi n senior officer utumishi nadhani bado n mtumishi huyo mother
Kwani n tatizo ukiandikwa hapa mzee, au Kuna shida nyingine aiseeHivi una akili timamu kweli, yani unataka ugonjwa uliomwondoa marehemu uanikwe hapa kwenye mitandao ya jamii?
Mna PhD ngapi mkuu?Mbona sisi kwetu tumeshikilia kisomonila bado tunaaibika Mjini?
Za kutosha.Mna PhD ngapi mkuu?
sasa mnakwama wap?Za kutosha.
MhitaAnastahiri Pongezi Kwa Kutundika Daruga Salama Salmini
Nakumbuka Kabla Ya Dkta Agness Kijazi Kuchukua Hayo Majukumu
Aliwahi Kuwepo Dkt Nguli Mtabiri Mtu Wa Tanga Jina Nimemsahau
Hebu fafanua kidogo hii😂😂😂Kama ndivyo familia hiyo inamiki ATM nyumbani kwao.
Kuna matumbo yamezaa. Imagine wazazi wao (kama wapo) wanajisikiaje kuhusu watoto wao kipindi watoto wako kwenye peakKama ndivyo familia hiyo inamiki ATM nyumbani kwao.
Huyo HuyoMhita