Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana uhusiano na yule kijazi mwenye flyover?
Hiyo familia ya Kijazi ingekua wahaya mbona tunge komaa siye la Saba B! Sema watu wa Pwani hata wasome vp,huwa hawana maringo na elimu zao Kama wale wenzangu na mie wa BK!!Yes nadhni na yule naibu wizara ya Ardhi Dr John Kijazi Unaambiwa ile ni familia ya Elimu
alikuwa anaitwa Dr. Mohamed Mhita. alishatangulia mbele za hakiAnastahiri Pongezi Kwa Kutundika Daruga Salama Salmini
Nakumbuka Kabla Ya Dkta Agness Kijazi Kuchukua Hayo Majukumu
Aliwahi Kuwepo Dkt Nguli Mtabiri Mtu Wa Tanga Jina Nimemsahau
Apumzike Kwa Amanialikuwa anaitwa Dr. Mohamed Mhita. alishatangulia mbele za haki
alikuwa anaitwa Dr. Mohamed Mhita. alishatangulia mbele za haki
yes, mkewe bado yupo hai. Zabein Mhita alikuwa mbunge wa Kondoa na naibu waziri wakati wa mzee Mkapa. yes, mtoto wao alikuwa mbunge Handeni, hivi sasa ni DC.Lakini mkewe bado yu hai anaitwa Zabein Mhita au siyo ?
Mtoto wao alikuwa mbunge wa Handeni mashariki na sasa ni DC baada ya kukosa ubunge awamu ilopita.
Issue za utabiri wa hali ya hewa ni probability kote duniani. Sio hundred parcent correct. Hv hukuendaga shule!!??Daah! tutapata nani mwingine wa kutupiga kamba.
Lakini mkewe bado yu hai anaitwa Zabein Mhita au siyo ?
Mtoto wao alikuwa mbunge wa Handeni mashariki na sasa ni DC baada ya kukosa ubunge awamu ilopita.
yes, mkewe bado yupo hai. Zabein Mhita alikuwa mbunge wa Kondoa na naibu waziri wakati wa mzee Mkapa. yes, mtoto wao alikuwa mbunge Handeni, hivi sasa ni DC.
Kuna mwingine n somebody kijazi n senior officer utumishi nadhani bado n mtumishi huyo mother
[/QUOTE
MKUU WA TANAPA BA ALIKUWA K.M UTALII
Alikuwa Mbunge Handeni vijijiniKama ni Mboni Mhita DC wa kahama hajawahi kua Mbunge ujue
Kama ni Mboni Mhita DC wa kahama hajawahi kua Mbunge ujue
Mama alichapa kaziView attachment 2427898
Unapoitaja Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini TMA jina linalokujia kwa haraka ni DK Ages Kijazi Mtaalam wa tasnia ya utabiri wa Hali ya Hewa kwa miongo kadhaa sasa.
Licha ya ubobevu wake wa masuala ya Hali ya Hewa, DK Kijazi ambaye pia ni Makamu wa tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO), Dkt. Agnes Kijazi mbali ya kuifanya TMA kuwa chombo kinachoaminika sasa kwa kutoa utabiri wenye usahihi kwa asilimia 97.3 umri wa utumishi Serikali umemtupa mkono.
Ili kuendelea kutoa mchango wake DK Kijazi sasa anakwenda kujiunga na WMO kama Mkurugenzi anayesimamia taasisi za hali ya hewa kwa upande wa Bara la Afrika.
TMA imetoa taarifa za DK Kijazi Kustaafu kama Mkurugenzi Mkuu, CMG na Wadau wa Hali ya Hewa ikiwemo wakulima, wavuvi na sekta ya usafiri watamkumbuka kutokana na mchango mkubwa aliotoa kwa jamii ya Watanzania na dunia kwa ujumla.