Dkt. Agnes Kijazi astaafu Ukurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA)

Lakini mkewe bado yu hai anaitwa Zabein Mhita au siyo ?

Mtoto wao alikuwa mbunge wa Handeni mashariki na sasa ni DC baada ya kukosa ubunge awamu ilopita.
yes, mkewe bado yupo hai. Zabein Mhita alikuwa mbunge wa Kondoa na naibu waziri wakati wa mzee Mkapa. yes, mtoto wao alikuwa mbunge Handeni, hivi sasa ni DC.
 
Daah! tutapata nani mwingine wa kutupiga kamba.
Issue za utabiri wa hali ya hewa ni probability kote duniani. Sio hundred parcent correct. Hv hukuendaga shule!!??
Au ubongo wako ni mzito kama nta.
Mtu mwenye ufahamu mdogo comment zao hutia kichefu chefu
 
Mama alichapa kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…