Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
Dkt. Allan Kijazi ni Director General wa Tanzania National Parks na wakati huo huo ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na utalii. Kabla ya hapo alikuwa Naibu Katibu Mkuu na Mh. Samia Suluhu akam-promote kuwa Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Aloyce Nzuki.
Kwanza mimi nampongeza kwa uteuzi ila naona kama kuna mgongano wa kimajukumu.
1. Moja ya kazi za Katibu Mkuu ni kusimamia taasisi zilizo chini ya Wizara yake kama accounting officer wa Wizara husika ambapo ana deal moja kwa moja na CEO's wa haya mashirika.
2. Kwenye kuunda Bodi za mashirika baada ya Mwenyekiti kuteuliwa na Rais basi wajumbe wote huteuliwa na Waziri kwa kushirikiana na Katibu Mkuu wa Wizara na wataalamu wengine.
SWALI: Sasa hapa inakuwaje Dkt. Kijazi aendeshe Shirika kama TANAPA then kwenye vikao vya Bodi aingie kama mjumbe/Katibu ambae ndio DG na pia Ex-officio kama Katibu Mkuu halafu akawe questioned na wajumbe ambao yeye amehusika kwenye kuwateua?
Lakini pia CEO wa shirika ndiyo anaye-present report ya Shirika ambapo wakati huo huo ni Katibu Mkuu.
Hii imekaaje wadau?
Kwanza mimi nampongeza kwa uteuzi ila naona kama kuna mgongano wa kimajukumu.
1. Moja ya kazi za Katibu Mkuu ni kusimamia taasisi zilizo chini ya Wizara yake kama accounting officer wa Wizara husika ambapo ana deal moja kwa moja na CEO's wa haya mashirika.
2. Kwenye kuunda Bodi za mashirika baada ya Mwenyekiti kuteuliwa na Rais basi wajumbe wote huteuliwa na Waziri kwa kushirikiana na Katibu Mkuu wa Wizara na wataalamu wengine.
SWALI: Sasa hapa inakuwaje Dkt. Kijazi aendeshe Shirika kama TANAPA then kwenye vikao vya Bodi aingie kama mjumbe/Katibu ambae ndio DG na pia Ex-officio kama Katibu Mkuu halafu akawe questioned na wajumbe ambao yeye amehusika kwenye kuwateua?
Lakini pia CEO wa shirika ndiyo anaye-present report ya Shirika ambapo wakati huo huo ni Katibu Mkuu.
Hii imekaaje wadau?