Dkt. Allan Kijazi, Katibu Mkuu Maliasili na Utalii na DG TANAPA - Confusion

Dkt. Allan Kijazi, Katibu Mkuu Maliasili na Utalii na DG TANAPA - Confusion

Afadhali kama nawe unalijuwa hilo mana kuna vilaza humu ndani wanabisha kitu wasicho kijuwa
 
Allan kijazi ni muadilifu wa hali ya juu. I know the guy so well. Ana stahili
 
Kwani yuko peke yake? Mbona hata Msigwa ni Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu wakati huohuo ndio msemaji mkuu wa Serikali ,kuna wengi kweli nchi hii
Hii sio mfano hai

Mleta mada ameelezea vizuri sana na ameainisha kwa kina namna mgongano wa kimaslahi ulivyo mada yake
 
Kwanza huu ni upuuzi, mtu anakuaje na vyeo viwili kwenye wizara moja. Mimi sijawahi ona kabisa.
Kwani hakuna watu wengine wenye uwezo wa kazi ya DG? Hii nchi ya viwonder kweli kweli

Dr Allan Kijazi ni Director General wa Tanzania National Parks na wakati huo huo ni Katibu Mkuu wa wizara ya Mali Asiili na utalii. K Kabla ya hapo alikuwa Naibu Katibu Mkuu na Mh Samia Suluhu akam promote kuwa PS kichukua nafasi ya Aloyce Nzuki. Kwanza mimi nampongeza kwa uteuzi ila naona kama kuna mgongano wa kimajukumu.

1. Moja ya kazi za PS nikusimamia taasisi zilizo chini ya wizara yake kama accounting officer wa Wizara husika ambapo ana deal moja kwa moja na CEO's wa haya mashirika.

2. Kwenye kuunda Bodi za mashirika baada ya mwenyekiti kuteuliwa na Rais basi wajumbe wote huteuliwa na Waziri kwa kushirikiana na Katibu Mkuu wa Wizara na wataalamu wengine.

SWALI? Sasa hapa inakuwaje Dr Kijazi aendeshe Shirika kama TANAPA then kwenye vikao vya Bodi aingie kama mjumbe/Katibu ambae ndio DG na pia Ex-officio kama katibu Mkuu halafu akawe questioned na wajumbe ambao yeye amehusika kwenye kuwateua???

Lakini pia CEO wa shirika ndiyo anae present report ya Shirika ambapo wakati huo huo ni Katibu Mkuu

Hii imekaaje wadau
 
Allan kijazi ni muadilifu wa hali ya juu. I know the guy so well. Ana stahili

With the highest level of integrity that you have pointed out, still does't endorse him to embrace two government positions.
 
Dr Allan Kijazi ni Director General wa Tanzania National Parks na wakati huo huo ni Katibu Mkuu wa wizara ya Mali Asiili na utalii. K Kabla ya hapo alikuwa Naibu Katibu Mkuu na Mh Samia Suluhu akam promote kuwa PS kichukua nafasi ya Aloyce Nzuki. Kwanza mimi nampongeza kwa uteuzi ila naona kama kuna mgongano wa kimajukumu.

1. Moja ya kazi za PS nikusimamia taasisi zilizo chini ya wizara yake kama accounting officer wa Wizara husika ambapo ana deal moja kwa moja na CEO's wa haya mashirika.

2. Kwenye kuunda Bodi za mashirika baada ya mwenyekiti kuteuliwa na Rais basi wajumbe wote huteuliwa na Waziri kwa kushirikiana na Katibu Mkuu wa Wizara na wataalamu wengine.

SWALI? Sasa hapa inakuwaje Dr Kijazi aendeshe Shirika kama TANAPA then kwenye vikao vya Bodi aingie kama mjumbe/Katibu ambae ndio DG na pia Ex-officio kama katibu Mkuu halafu akawe questioned na wajumbe ambao yeye amehusika kwenye kuwateua???

Lakini pia CEO wa shirika ndiyo anae present report ya Shirika ambapo wakati huo huo ni Katibu Mkuu

Hii imekaaje wadau
Heko mkuu kwa mada yako fikirishi.

Huenda wateuzi hawajaliangalia hili kwa undani wake; na inawezekana wakawa wamepitiwa.

Mada yako hii inaweza ikawashtua kufanya marekebisho.
 
Back
Top Bottom