Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Alikuwa Naibu Katibu MkuuKwani maza ndio kamteua Kijazi kwenye hiyo nafasi? Aliyemteua ni Magufuli miaka 4 iliyopita. Kajinyonge sasa umeishajua ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa Naibu Katibu MkuuKwani maza ndio kamteua Kijazi kwenye hiyo nafasi? Aliyemteua ni Magufuli miaka 4 iliyopita. Kajinyonge sasa umeishajua ukweli
Sio kweli.. niwekee uthibitisho hapaAlikuwa Naibu Katibu Mkuu
Hizo ni hisia zako..mimi nadhani hakuna confusion yoyote.
..baada ya Kijazi kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu, nafasi yake ya zamani itakaimiwa mpaka atakapopatikana dg mpya wa tanapa.
..kwa maneno mengine, kwasababu dg wa tanapa amepangiwa kazi nyingine na raisi, basi wizara, au bodi ya wakurugenzi wa tanapa, inatakiwa kuteua kaimu / acting dg atakayeongoza tanapa mpaka pale atakapoteuliwa dg mpya.
Hizo ni hisia zako
..mimi nadhani hakuna confusion yoyote.
..baada ya Kijazi kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu, nafasi yake ya zamani itakaimiwa mpaka atakapopatikana dg mpya wa tanapa.
..kwa maneno mengine, kwasababu dg wa tanapa amepangiwa kazi nyingine na raisi, basi wizara, au bodi ya wakurugenzi wa tanapa, inatakiwa kuteua kaimu / acting dg atakayeongoza tanapa mpaka pale atakapoteuliwa dg mpya.
Akiwa NKM maliasili na utalii alikuwa DG wa tanapa kwa muda tu enzi za jiwe..mtoa mada anaweza kuwa ameandika hisia zake.
..kwa mfano, Mama kamteua Balozi wetu wa Japan kuwa Katibu Mkuu kiongozi.
..Je, ina maana huyu Katibu kiongozi bado ni balozi Japan?
..nani anatekeleza majukumu ya balozi wetu Japan?
..ninavyoelewa mimi, kwa kipindi hiki cha mpito kabla Mama hajateua balozi wa Japan, afisa anayefuatia kimadaraka ktk kituo hicho atakaimu nafasi ya balozi.
..tukirudi kwenye mada; nafasi ya DG wa Tanapa itakaimiwa na mmoja wa senior directors mpaka pale DG mpya atakapoteuliwa.
..Kijazi ni KM Maliasili hawezi tena kufanya kazi za DG wa Tanapa.
NB:
..ngoja tutafute msaada wa wanasheria wetu Petro E. Mselewa , Pascal Mayalla
..mtoa mada anaweza kuwa ameandika hisia zake.
..kwa mfano, Mama kamteua Balozi wetu wa Japan kuwa Katibu Mkuu kiongozi.
..Je, ina maana huyu Katibu kiongozi bado ni balozi Japan?
..nani anatekeleza majukumu ya balozi wetu Japan?
..ninavyoelewa mimi, kwa kipindi hiki cha mpito kabla Mama hajateua balozi wa Japan, afisa anayefuatia kimadaraka ktk kituo hicho atakaimu nafasi ya balozi.
..tukirudi kwenye mada; nafasi ya DG wa Tanapa itakaimiwa na mmoja wa senior directors mpaka pale DG mpya atakapoteuliwa.
..Kijazi ni KM Maliasili hawezi tena kufanya kazi za DG wa Tanapa.
NB:
..ngoja tutafute msaada wa wanasheria wetu Petro E. Mselewa , Pascal Mayalla
Akiwa NKM maliasili na utalii alikuwa DG wa tanapa kwa muda tu enzi za jiwe
Najua sana ila hujanielewa kabla ya kuwa KM alikuwa NKM na DG kwa muda mrefuKama hujui si unyamaze? Kijazi ni DG na bado ni KM
We ni kilaza kweli hili sio swala la kisheria ni swala la utashi tu.pasco atakushauri nini hapo..mtoa mada anaweza kuwa ameandika hisia zake.
..kwa mfano, Mama kamteua Balozi wetu wa Japan kuwa Katibu Mkuu kiongozi.
..Je, ina maana huyu Katibu kiongozi bado ni balozi Japan?
..nani anatekeleza majukumu ya balozi wetu Japan?
..ninavyoelewa mimi, kwa kipindi hiki cha mpito kabla Mama hajateua balozi wa Japan, afisa anayefuatia kimadaraka ktk kituo hicho atakaimu nafasi ya balozi.
..tukirudi kwenye mada; nafasi ya DG wa Tanapa itakaimiwa na mmoja wa senior directors mpaka pale DG mpya atakapoteuliwa.
..Kijazi ni KM Maliasili hawezi tena kufanya kazi za DG wa Tanapa.
NB:
..ngoja tutafute msaada wa wanasheria wetu Petro E. Mselewa , Pascal Mayalla
Hapa kuna conflict of interest katika hivyo vyeo vyote viwili alitakiwa aachie huo uDG kwani ameutumikia kwa muda mrefu sana. Au hakuna mtu mwingine wa kuiendesha Tanapa!Mwakilema ni Deputy DG anaeshughulika Conservation na Community.
Structure ya TANAPA ina Deputy DG's wawili, mmoja wa conservation na mweingine wa corporate issues
Bro siyo kila kitu lazima wanasheria wakusaidie sasa kama hapa unataka mwanasheria wa nini? Hivi huna hata elementary knowledge ya structure ya mashirika ya umma. Mimi ndio nakuambia sasa Kijazi bado ni DG na KM
..kaka samahani.
..ulichokieleza kimenichanganya ndio maana nimeona nitafute msaada wa wanasheria.
..tuko hapa kuelimishana.
..Sasa kuna baadhi wanaelewa haraka.
..Na kuna wengine kama mimi ni wagumu kidogo kuelewa.
Kwani aliyemteua kushika hizo nafasi mbili anasemaje?Dr Allan Kijazi ni Director General wa Tanzania National Parks na wakati huo huo ni Katibu Mkuu wa wizara ya Mali Asiili na utalii. K Kabla ya hapo alikuwa Naibu Katibu Mkuu na Mh Samia Suluhu akam promote kuwa PS kichukua nafasi ya Aloyce Nzuki. Kwanza mimi nampongeza kwa uteuzi ila naona kama kuna mgongano wa kimajukumu.
1. Moja ya kazi za PS nikusimamia taasisi zilizo chini ya wizara yake kama accounting officer wa Wizara husika ambapo ana deal moja kwa moja na CEO's wa haya mashirika.
2. Kwenye kuunda Bodi za mashirika baada ya mwenyekiti kuteuliwa na Rais basi wajumbe wote huteuliwa na Waziri kwa kushirikiana na Katibu Mkuu wa Wizara na wataalamu wengine.
SWALI? Sasa hapa inakuwaje Dr Kijazi aendeshe Shirika kama TANAPA then kwenye vikao vya Bodi aingie kama mjumbe/Katibu ambae ndio DG na pia Ex-officio kama katibu Mkuu halafu akawe questioned na wajumbe ambao yeye amehusika kwenye kuwateua???
Lakini pia CEO wa shirika ndiyo anae present report ya Shirika ambapo wakati huo huo ni Katibu Mkuu
Hii imekaaje wadau
Shida ulianza na ubishi huku ukiwa umekiri mwenyewe kwamba wewe ni mgumu kuelewa
Lukuvi enzi za jk alikuwa mbunge kwao na RC dodoma, Dr Abas enzi za jpm alikuwa msemaji wa serikali na KM wizara ya habari,ni ujinga wa mamlaka za uteuzi tu..mimi ninavyoelewa mtu anapoteuliwa wadhifa mpya basi AUTOMATICALLY anaachia wadhifa aliokuwa nao.
..na katika kuachia anamkabidhi ofisi mhusika atakayekaimu mpaka mamlaka zitakapofanya uteuzi wa nafasi hiyo.
Andazi kabisaMbona mama mwenyewe ni Rais na mgawaji mkuu wa mashuka 200 kwa wagonjwa, na maisha yanaenda.
Mkuu..mimi ninavyoelewa mtu anapoteuliwa wadhifa mpya basi AUTOMATICALLY anaachia wadhifa aliokuwa nao.
..na katika kuachia anamkabidhi ofisi mhusika atakayekaimu mpaka mamlaka zitakapofanya uteuzi wa nafasi hiyo.