Pre GE2025 Dkt. Ananilea Nkya: Nafasi za ubunge wa Viti Maalum zifutwe kwa sababu zimeanza kutumika isivyostahili. Zilianzishwa ziwe za Mpito sio za kudumu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu ndiye Iron Lady wa ukweli
 
Ukweli hivi viti maalum ni mzigo kwa uchumi wa Taifa.
Kwa kiingereza tunasema:
She is very right.
Yuko sahihi na wanawake wengi wangekimbilia kwenye majimbo hasa wa upinzani kama uchaguzi ungekuwa wa Haki na Huru.Viti maalum ni matokeo ya uchafuzi wa uchaguzi kuua hilo lazima haki itendeke
 
Mbona rasimu ya Warioba ililiaddress vizuri kabisa hilo suala la VITI MAALUM..kila mkoa Wabunge wawili..wajimbo( mkoa) na viti maalum na wote wa wagombanie..

Shida nchi yetu tunapeleka fedha nyingi kwenye UTAWALA..kwa mtazamo huu maendeleo ya Mama Tanzania, yatakuwa ya KUSUA SUA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…