Dkt. Ayoub Ryoba leo utanisamehe kwani Wewe ni Mwalimu wangu, Poti wangu na nakubali mno IQ yako, ila nakusema bila Aibu

Dkt. Ayoub Ryoba leo utanisamehe kwani Wewe ni Mwalimu wangu, Poti wangu na nakubali mno IQ yako, ila nakusema bila Aibu

Ni kujipendekeza tu na uchawa hakuna kingine cha zaidi
 
Hivi inawezekanaje TBC1 kama Chombo cha Taifa kinatoa Kipaumbele kwa Saa zaidi ya Mbili (Masaa Mawili) Watangazaji wake kuonyesha Viongozi wa Mikoa (RC's) na Wenyeviti wa CCM Mikoa wakimsifia Rais Samia katika 'Birthday' yake leo huku ukijua kabia kuwa kuna Mkutano mkubwa Tanzania na Watanzania tungependa kujua mengi yatakonayo na huo Mkutano wa Nishati kuliko Upuuzi wa 'Birthdays' za Uzeeni za Ubabu na Ubibi?

Poti wangu / Mwetu wangu Dkt. Ayoub Ryoba na Mwalimu wangu Siku hizi umekumbwa na nini Kaka? Asali imekunogea?
Ni hela yako tu hata wewe kanunue airtime hata masaa matatu birthday yako
 
Hivi inawezekanaje TBC1 kama Chombo cha Taifa kinatoa Kipaumbele kwa Saa zaidi ya Mbili (Masaa Mawili) Watangazaji wake kuonyesha Viongozi wa Mikoa (RC's) na Wenyeviti wa CCM Mikoa wakimsifia Rais Samia katika 'Birthday' yake leo huku ukijua kabia kuwa kuna Mkutano mkubwa Tanzania na Watanzania tungependa kujua mengi yatakonayo na huo Mkutano wa Nishati kuliko Upuuzi wa 'Birthdays' za Uzeeni za Ubabu na Ubibi?

Poti wangu / Mwetu wangu Dkt. Ayoub Ryoba na Mwalimu wangu Siku hizi umekumbwa na nini Kaka? Asali imekunogea?
Hii iende pasipo kupubguza makali. Azam wame cover muda mrefu huku TBC haipo inafanya mambo ya birthday ni aibu, sasa kila kiongozi birthday yake iwe full covered, Rais awakemee hili mnafanya hujuma ya kisaikolojia kwake kila wakati unampigia makofi aceni afanye kazi. Ebo
 
Back
Top Bottom