Dkt. Bashiru: Aliye na dola ndiye ananufaika nayo kubaki madarakani, hata CHADEMA ikiingia madarakani ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wao

Nasema tena ,Polisi na jeshi ndo wakumuomba Bashiru asahihishe kauli yake Wakinyamaza ina maana kuwa wako pamoja juu ya maneno yale.

Kimya chao kinatupa sisi wananchi wasi wasi na kuonesha kuwa hamna siasa nchii hii ,utawala ni wa kiiimla.
 
Inawezekana bashiru kakutana na hali inayomkera, akaamua kutamka maneno yanayoonyesha hali halisi, alafu tatizo likawa kwa wapokeaji, sisi ni wepesi sana wa kutoa hukumu bila kutafakari.

Nafikiri muhimu ni kujiuliza nini kimejificha nyuma ya kauli yake, tusiwe wepesi sana kutoa hukumu, yawezekana hata yeye anaishi katika mazingira asiyoyaopenda,

Je, tunajua ni nani yupo nyuma ya yote yanayotendeka?
 
the truecaller, Huo ndio uelewa wako Dola aliyoimaanisha Bashiru ni pamoja na vyombo vyote vya ulinzi na usalama pole kwa maandishi yako marefu yenye upotoshaji.
 
Na huu uchaguzi wa serikali za mitaa ni kiashiria kingine cha alikuwa na maana gani. Kuanzisha wasimamizi mpaka wote
 
Bashiru tutatumia DOLA.


"Wanaosubiri sisi tulegelege kwenye kutumia dola kubaki kwenye dola watasubiri sana, hata Trump kumuondoa ngumu, kuna nafuu kubwa na faida kubwa chama kilichopo madarakani kutumia nguvu za dola kufanya mambo ya kujenga imani kwa wapiga kura ili kiweze kubaki madarakani"- Bashiru

"Aliye na dola ndiye ananufaika na dola ile kubaki madarakani, huo ni ukweli na hata CHADEMA ikiingia madarakana ikaondolewa kwenye dola ni uzembe wake. Kwasababu ana nafuu na faida ya kuendelea kubakia" - Dkt. Bashiru Ally, Katibu Mkuu
 
Chama cha Mapinduzi kinatumia vizuri Sana dola ili kuendelea kubaki kwenye dola na Rais Magufuli ametusaidia sana kwenye hilo.

Msikilize Dk. Bashiru Ally Kakurwa akifafanua kwa kina dhana ya chama tawala na matumizi ya dola kubaki kwenye dola

Your browser is not able to display this video.
 
serikali bila watu ni sawa na chakula pasipo mlaji...tukiwachangamkia bado morali ya watanzania ni kubwa juu ya lissu na chadema kwa ujumla hakika watang'oka

#kura yangu kwa lissu, ole wako lisu ukubali ku- sign baada ya meko kushinda walahi tutaonana wabaya sana.
 
Ccm mlibugi wenyewe kutowaheshimu watanzania. Hasa huyu black wenu wa Sasa, mtulie tuliiii. kinyozi ananoa wembe taratibu
 
Mwaka huh nguvu ya umma ndio itayotumika ,ambayo ndio kiboka ya nguvu za fola za aina yoyote ile ,muulize Likasheko?
 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ali, amekiri chama chake kuitumia dola kuhakikisha kinabaki madarakani.

Amesema kama chama chochote kinachoongoza serikali kitashindwa kutumia dola kubaki madarakani, utakuwa uzembe wa chama chenyewe. Kwa kulitambua hilo, Dk. Bashiru amesema CCM imekuwa ikitumia dola kujihakikishia ushindi wakati wa uchaguzi na mwaka huu wamepanga “kuitumia dola kweli kweli”.

 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ali, amekiri chama chake kuitumia dola kuhakikisha kinabaki madarakani...
Dola na nguvu ya uma wapi na wapi..! Kwaio wako radhi kurusha mabomu ya kivita mtaani sio...

Haya sawa tushajua hilo na Mungu pia yuko upande wetu siku zote mpaka haki ipatikane..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Asante. Nilikuwa natafuta uzi huu sana. Nitaufanyia kazi next time. Kwa leo nataka nifanye kitu kingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…