hawana thamani kwa nani sasa, hebu eleza hapo!?Hawana thamani tena hao wachukueni tu.
Waasi hawa hawana tena thamani kwa Chadema.hawana thamani kwa nani sasa, hebu eleza hapo!?
Chukulia mfano mbunge wa Babati mjini alivyotoka CDM nani anajali uwepo wake?hawana thamani kwa nani sasa, hebu eleza hapo!?