Dkt. Bashiru Ally awakaribisha ndani ya CCM Halima Mdee na wenzake

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.

''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
 
Nimeamini heshima inaweza kujengwa hata miaka kumi, ila huondoka ndani ya siku moja, walikuwa mashujaa, sasa hivi wanatafuta pakuficha sura zao.

Bashiru atambue hao wanawake kuwa kwao Chadema ndio kuliwafanya waonekane "washoka" lakini kuanzia ile siku wamefukuzwa uanachama, they are now hopless.
 
Huu ni upumbavu wa Hali ya juu kina Halima Mdee wamenasa kirahisi kiasi hiki Ila bado wanaweza kufanya Jambo. Waeleze ukweli maana siyo wao Ni kweli tamaa na njaa lakini kikubwa ni wao kuongozwa mtego wa CCM bila wao kujua. Waombe radhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…