Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Pumbafff Dr Slaa yupo chama gani?Kwa kweli, wao wamchukue Membe, Lowassa, CCM wawachukue Dr Slaa na Chadema19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumbafff Dr Slaa yupo chama gani?Kwa kweli, wao wamchukue Membe, Lowassa, CCM wawachukue Dr Slaa na Chadema19
Walikuwa na ushawishi sana ndio maana wakashindwa vibaya na sampuli za Askofu Rashidi? Kama kweli walikuwa wanawathamini basi wangeruhusu uchaguzi wa haki na uwazi ufanyike ili ushawishi wao ndio ungewapa ubunge na sio huu wa kubebwa.Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.
''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
ccm inahusikaje na kuapishwa kwao?Hii maana yake wamekubali mchakato wa kuapishwa ulikuwa ni feki.
Maana yake Chadema imewafukuza kihalali na hivyo the only option ni kuwaruhudu waje CCM.
Pumbafff Dr Slaa yupo chama gani?
Acha uwongo... Lowasa si mlimpa kugombea Urais kwnye lichama lenu au ndio ubongo wa funza memory sifuri.Wala cdm haishoboki na wote uliowataja.
Halima Mdee kwenda CCM itakuwa sawa na muislamu kuritadi!Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.
''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
Sawa na wanaoingia nyumba ya Chedema tu huwa wanaambiwa waache nguo zao zote mlangoni waingie ndani wakiwa uchi wa mnyama .Unajifanya hujui kwamba mtu yeyote anaingia nyuma ya CCM huwa anaambiwa aache akili zote mlangoni kabla hajaingia kwani hazitakiwi ndani?
Unataka kutuambia kweli hujui CCM inahusikaje.ccm inahusikaje na kuapishwa kwao?
Nakataa unaposema kuwa hawakujuwa huo mtego wa CCM.Huu ni upumbavu wa Hali ya juu kina Halima Mdee wamenasa kirahisi kiasi hiki Ila bado wanaweza kufanya Jambo. Waeleze ukweli maana siyo wao Ni kweli tamaa na njaa lakini kikubwa ni wao kuongozwa mtego wa CCM bila wao kujua. Waombe radhi.
CHADEMA wanavaa magwanda! Check your fact!Sawa na wanaoingia nyumba ya Chedema tu huwa wanaambiwa waache nguo zao zote mlangoni waingie ndani wakiwa uchi wa mnyama .
Kutamanije mkuu?! Au unaongelea yale alosema kigogo kuhusu mbunge wa Babati mjini?
Amekimbia njaa ya 5 yrsKwani Halima anakula wapi kama sio bungeni ??. Tuangalie pande zote anahitaji kula kama mimi na wewe BASI. ISISEME NI NJAA MAANA HATA WEWE UNAYO .