Dkt. Bashiru Ally awakaribisha ndani ya CCM Halima Mdee na wenzake

Dkt. Bashiru Ally awakaribisha ndani ya CCM Halima Mdee na wenzake

Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.

''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
Na hii ndio ilikuwa agenda kuu ya mkutano wa Bashiru, hayo mengine ni yatokanayo tu
 
Halima kajiharibia heshima yake aliyoipigania miaka kwa vipande vya mkate na kusahau Kama alikamata sanduku la kura feki.
 
''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
Wamekipata walichokuwa
Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.

''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
"Allez. Bon voyage".
 
Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.

''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
Tubagambile: Mpao. Bagendege.
 
Mamba hutamba majini tu aje huku nchi kavu tuone atafukuzwa hata na ndama.
Hao wanawake ndio hivyo tena "The end of an era", the traitors pay with their own blood.
 
Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.

''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
Imetimia sidhani kama kina Halima mdee wanahitaji tena kutoa neno kwa waandishi wa habari, ni wazi sasa mpango ulisukwa na sasa umetimia wanakaribishwa waziwazi hii ni kusema hawa ni wasaliti kwa rangi zote, walifikia bei mujarrabu na nadhan sasa turudi kwenye ile kauli ya Spika mstaafu hawa sasa inabidi watoke bungeni mana si wabunge tena wasubiri 2025 ila kwa sasa wanaweza kuvaa nguo za kijani labda kama rais yupo interested awateuwe tena kwenye zile za upendeleo, Natarajia soo kumuona Halima mdee akivaa nguo za kijani na kikofia wakila bata pamoja na Muhagama.

Tanzania hasa Tanganyika itachukua miaka mingi sana upinzani kuwa upinzani wa kweli mpaka sasa bado ni maigizo tu. Hofu yangu zaidi ni kina hawa Mnyika, Sugu, Heche na Msigwa nahisi kama na wao soon tutasikia washaukubali mfumo. Lissu ndo ashakuwa mtu wa Ulaya, Mbowe peke yake mapambano yatamshinda itabidi waanze mwanzo kule kwetu wanaita alifu kwa ujiti.
 
Mission accomplished. Ni akili kubwa sana ilitumika kuwakusanya wanawake kichwa wa Chadema ambao CCM nimekuwa ikiwatamani muda mrefu. Wanaona Njia nzuri ni kuwateua kibatili kupitia hizo mamlaka wakijua wakiwaapisha tu watafukuzwa. Na ndiyo Njia ya kuwapata. Na wakishapatikana baadhi watateuliwa vitiI Maalum CCM na wengine watapewa kazi za uteuzi. Mark my wirds today 30th November 2020#@Zogwale
 
Hii maana yake wamekubali mchakato wa kuapishwa ulikuwa ni feki.

Maana yake Chadema imewafukuza kihalali na hivyo the only option ni kuwaruhudu waje CCM.
Nafasi hamzitaki, wakina Mdee mmeshawatimua Sasa makelele ya nn?

Au bado mnataka kupeleka majina mengine.
 
Halima kajiharibia heshima yake aliyoipigania miaka kwa vipande vya mkate na kusahau Kama alikamata sanduku la kura feki.
Kwani Halima anakula wapi kama sio bungeni ??. Tuangalie pande zote anahitaji kula kama mimi na wewe BASI. ISISEME NI NJAA MAANA HATA WEWE UNAYO .
 
Back
Top Bottom