Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kwa kweli, wao wamchukue membe, lowasa,
CCM wawachukue Dr Slaa na chadema19
Wala cdm haishoboki na wote uliowataja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli, wao wamchukue membe, lowasa,
CCM wawachukue Dr Slaa na chadema19
Na hii ndio ilikuwa agenda kuu ya mkutano wa Bashiru, hayo mengine ni yatokanayo tuDkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.
''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
Wamekipata walichokuwa''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
"Allez. Bon voyage".Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.
''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
Tubagambile: Mpao. Bagendege.Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.
''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
Imetimia sidhani kama kina Halima mdee wanahitaji tena kutoa neno kwa waandishi wa habari, ni wazi sasa mpango ulisukwa na sasa umetimia wanakaribishwa waziwazi hii ni kusema hawa ni wasaliti kwa rangi zote, walifikia bei mujarrabu na nadhan sasa turudi kwenye ile kauli ya Spika mstaafu hawa sasa inabidi watoke bungeni mana si wabunge tena wasubiri 2025 ila kwa sasa wanaweza kuvaa nguo za kijani labda kama rais yupo interested awateuwe tena kwenye zile za upendeleo, Natarajia soo kumuona Halima mdee akivaa nguo za kijani na kikofia wakila bata pamoja na Muhagama.Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.
''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
CCM kuna shughuli nyingi za kufanya. Sio ubunge tu...TENA WAMSHAURI JPM AWAPE VITI MAALUM KAMA KWELI CCM WANAWAPENDA KWA DHATI
Kauli ile ile ya Mwalimu kuhusu wanasiasa wa tabia hii.Bulaya alitoka Ccm akaenda Chadema na leo...........
Unajifanya hujui kwamba mtu yeyote anaingia nyumba ya CCM huwa anaambiwa aache akili zote mlangoni kabla hajaingia kwani hazitakiwi ndani?hawana thamani kwa nani sasa, hebu eleza hapo!?
Nafasi hamzitaki, wakina Mdee mmeshawatimua Sasa makelele ya nn?Hii maana yake wamekubali mchakato wa kuapishwa ulikuwa ni feki.
Maana yake Chadema imewafukuza kihalali na hivyo the only option ni kuwaruhudu waje CCM.
Achana na KUB, waende kwa waziri mkuu aliyesema anakuwa waziri mkuu ndani ya masaa 72 Mbowe.Siyo waende kwanza kwa KUB Mbatia ?
Kwani Halima anakula wapi kama sio bungeni ??. Tuangalie pande zote anahitaji kula kama mimi na wewe BASI. ISISEME NI NJAA MAANA HATA WEWE UNAYO .Halima kajiharibia heshima yake aliyoipigania miaka kwa vipande vya mkate na kusahau Kama alikamata sanduku la kura feki.