Dkt. Bashiru Ally awakaribisha ndani ya CCM Halima Mdee na wenzake

Dkt. Bashiru Ally awakaribisha ndani ya CCM Halima Mdee na wenzake

Hata kama mkiwachukua hao wamama hawaruhusiwi kuaminiwa na mtu. Kama wameweza kuisaliti cdm kwa vipande vya fedha hawatashindwa kuisaliti ccm.

Samsom na delila. Japo delila alitumiwa na mfalme/rais wa nchi ya ufilisti kumkamata samsoni, mwisho wa siku mfalme aliyemtuma alimwambia waziwazi "" WEWE NI MWANAMKE USIYEPASWA KUAMINIWA""

Mrema alipokubali kuuza uraisi kwa Nyerere maika 90's . Nyerere alisema mrema hapaswi kuaminiwa japokuwa nyerere huyo huyo ndo aliyemshawishi
 
Mdee angemuuliza lijualikali yupo wapi. Nakumbuka alilia kabisa lakini chadema inadunda tu. Kuwa chadema raha sana jaman
 
Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.

''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
Nileteeni Bikidude
Nileteeni Bikidude
Nileteeni Bikidude
Nileteeni Bikidudeeeeeeeeeeeee!!!!!!!
Alisikika msomi mmoja uchwara hivi.
 
Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.

''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
Maaajabu Tanzania hayataisha kamwe
 
Safi sana hawa wataleta nguvu mpya na kuisaidia CCM kusonga mbele kwa kasi nzuri katika kuleta MAENDELEO.
 
Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.

''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
Sasa ni muda wa kuwa sajili chama kubwa ili,tupate mchango wao kwa taifa kwani hawata kwamisha tena maendeleo.
 
Ila aliyewabunia jina la Covid 19 katisha.
Maisha yao yote sasa wataishi na hili jina.sijui wanajisikiaje huko waliko.Hii ndio inaitwa wrong turn
 
Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.

''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
Kwa hiyo jamaa ameubariki mchakato wa kuondoa magugu kuwa ni halali hivyo tusije kusikia sub woofer anawakingia kifua
 
Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.

''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
Wamekuwa wanawake wa shoka leo. Mbona hakutamka mwanzo
 
Halima alikuwa hajuwi kama wananchi wanamaisha magumu mitaani?
 
Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa Kamati za Jumuiya za Chama hicho uliofanyika leo jijini Dodoma ambapo amesema kuwa, vyama vya upinzani vilikuwa na wagombea wengi wanawake majimboni na walikuwa na ushawishi mkubwa.

''Upinzani walikuwa na wakinamama wenye ushawishi sana na wametusumbua sana huko majimboni haikuwa rahisi. Lakini nasikitika sana vyama vyao haviwathamini na havitaki kuitambua nguvu yao, Wanawake wa shoka wote wa Upinzani karibuni @ccm_tanzania milango iko wazi'' - Dr. Bashiru
We have to come together as a nation and unite around our shared goal: defeating this virus called ccm
 
Back
Top Bottom