Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Yote kwa yote kifo cha JPM kimetufunza mengi sana hakika haipaswi kumtumainia binadamu mwenzako leo bashiru anatembea na gari moja hana tena power wala influence yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anadhalilisha wenzie kwa kuwafanya bidhaa. Kimsingi aliwanunua akina Silinde, Gekul, Mollel, kwa mtindo wa human trafficking, ngoja na yeye adhalilike.Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.
Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.
Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.
View attachment 1769575
Wewe huende ndio Bashiru mwenyewe.ukikosa kuwa Muungwana ujue matendo yako yatakurudia tu..tatizo lako unamshauri huku unamkebehi, chagua kimoja either umshauri au uendelee na mipasho yako...
Nafikiri mnatoa hoja dhaifu kutokana na uelewa wenu.Bashiru ni senior lecturer wa UDSM.Ana uwezo wa kurudi UDSM na kuendelea kuwa lecturer,huku akiwa na amani.Na kufikikisha miaka 65 ,akapata mafao yake akatulia.Bashiru si wababaishaji kina Nyarandu.Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.
Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.
Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.
View attachment 1769575
Hakuna kebehi labda wewe ndio unauelewa mdogo. Unadhani kulima matoke ni kebehi?tatizo lako unamshauri huku unamkebehi, chagua kimoja either umshauri au uendelee na mipasho yako...
Sawa, sasa kama ni hivyo mbona anadhalilishwa? Kutoka kuwa Cs mpaka mbunge viti maalumu?Nafikiri mnatoa hoja dhaifu kutokana na uelewa wenu.Bashiru ni senior lecturer wa UDSM.Ana uwezo wa kurudi UDSM na kuendelea kuwa lecturer,huku akiwa na amani.Na kufikikisha miaka 65 ,akapata mafao yake akatulia.Bashiru si wababaishaji kina Nyarandu.
Bora upate kidogo chenye heshima kuliko kingi chenye kuvunja heshima.Pesa ndio inalinda heshima ,sasa kwenye matoke kuna pesa ? [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Human trafficking? Hao kama walinunuliwa ni njaa zao tu sidhani kama ni mfano wa human trafficking. Unataka kuibua hoja zingine hapa.Alikuwa anadhalilisha wenzie kwa kuwafanya bidhaa. Kimsingi aliwanunua akina Silinde, Gekul, Mollel, kwa mtindo wa human trafficking, ngoja na yeye adhalilike.
Ole wake mtu amtegemeaye mwanadamu
Acha uzezeta we dogo, unafahamu KMK ana mamlaka gani?Duh!mbona mnamsakama bashiru
Siajabu sahivi ndiyo ame relax tofauti
Mnavyofikiria
Ova
Kupewa ubunge si kudhalilishwa.Ni kazi tu.Akitoka hapo anarudi UDSM kuendelea na lectures. Bado yupo kwenye platform nzuri tu.Tuwe na akiba ya maneno kwa wengine.Sawa, sasa kama ni hivyo mbona anadhalilishwa? Kutoka kuwa Cs mpaka mbunge viti maalumu?
We bwege kabisa, bora asingepewa ubunge.Kupewa ubunge si kudhalilishwa.Ni kazi tu.Akitoka hapo anarudi UDSM kuendelea na lectures. Bado yupo kwenye platform nzuri tu.Tuwe na akiba ya maneno kwa wengine.
Tatizo lako wewe huwa unajadili mada kwa chuki, una chuki na JPM, Polepole na Dr Bshiru. Sasa habari za kina Gekul kununuliwa unazo ushahidi? Acha porojo za kitoto.Alikuwa anadhalilisha wenzie kwa kuwafanya bidhaa. Kimsingi aliwanunua akina Silinde, Gekul, Mollel, kwa mtindo wa human trafficking, ngoja na yeye adhalilike.
Ole wake mtu amtegemeaye mwanadamu
Dar-es-salaam ndio Jimbo la wabunge karibia asilimia 90....Hibi wabunge wanaposema wanaenda majimboni..... Bashiru na wenzake kina Halima wanaenda wapi?
Nyalandu na Yule wa Lindi wamenunuliwa na Nani?! Au aliacha invoice ofisini?Alikuwa anadhalilisha wenzie kwa kuwafanya bidhaa. Kimsingi aliwanunua akina Silinde, Gekul, Mollel, kwa mtindo wa human trafficking, ngoja na yeye adhalilike.
Ole wake mtu amtegemeaye mwanadamu
Na hii ndio inamharibia kabisa huyu Bashiru,alijitwika majukumu yasiyo saizi yake.Sijui alikuwa na lengo gani!!Dhambi ya kusimamia utekaji na vitisho itamtafuna mpaka kufa hiyo ndio karma huwa haiongopi hata kidogo...hao wahuni wanampa Mama safari Tanga akafanye ufunguzi na Waziri Mkuu hajui kitu anajibu anavyotaka kumbe habari ishakuwa tofauti harafu wao kimya kimya wakiendelea na vikao wacha wapumzike aisee ingekua Nchi zingine angekua jela sio Bungeni huyo ghafra pole pole alianza kuja na tabasamu la unafiki la kitoto...
Huenda hata hajui maana ya human traffickingHuman trafficking? Hao kama walinunuliwa ni njaa zao tu sidhani kama ni mfano wa human trafficking. Unataka kuibua hoja zingine hapa.