Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashiru ana dhalilikaje?Alikuwa anadhalilisha wenzie kwa kuwafanya bidhaa. Kimsingi aliwanunua akina Silinde, Gekul, Mollel, kwa mtindo wa human trafficking, ngoja na yeye adhalilike.
Ole wake mtu amtegemeaye mwanadamu
Wanaomsakama Bashiru wana uelewa mdogo sanaDuh!mbona mnamsakama bashiru
Siajabu sahivi ndiyo ame relax tofauti
Mnavyofikiria
Ova
Aliyataka mwenyewe,hivi unawezaje kumwambua mama kuwa ajiuzulu kumpisha mwanaume kuwa rais,kwakuwa nchi haina historia ta kuwa na rais mwanamke?Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.
Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.
Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.
View attachment 1769575
Una uhakika na hayo unayoyasemaWahuni walikua wanaipeleka Nchi kwenye machafuko hao maana walitaka kupindua meza ndio maana Wazee wa kazi walipoingia kazini kuwaamuru watangaze mpaka saa sita mwisho mimi matendo yao ya nyuma hata sikuyazingatia ila haya ya karibuni ndio yalikera mno huyo ilitakiwa awaombe msamaha Watanzania na akili makosa yake maisha yaendelee ni kwamba alishika kete mbovu tuu...
Anatia huruma huyu kima!Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.
Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.
Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.
View attachment 1769575
Watishe wengine kihande wewe...Una uhakika na hayo unayoyasema
Bashiru alipokuwa UDSM na mwanachama wa CUF alikuwa bingwa wa kuongea masuala ya haki, demokrasia, usawa na Utawala bora.Na jibu la swali umelificha kwenye Aya ipi?..nimesoma mara sita na sikuona response ya swali langu lililotokana na tabia isiyopendeza ya Bashiru..
Kuwa mbunge wa viti maalumn kama Halima MdeeBashiru ana dhalilikaje?
Mkuu sio suala la Ccm au Chadema. Ni suala la mtu aliyekuwa katibu mkuu kiongozi na sasa ni mbunge wa viti maalumu.Hivi wapinzani halisi wa chadema ni Bashiru, Hayati na Pole pole au ccm?
Wanaenda kuchota maji kisimaniHibi wabunge wanaposema wanaenda majimboni..... Bashiru na wenzake kina Halima wanaenda wapi?
Wewe unajua alichokifanya huyo jamaa kwa mama hadi umtetee hivyo?Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.
Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.
Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.
View attachment 1769575
Hakuna uzalilisha wowote kwani hizo ni kazi umma, Hazina mtu maalumu wa kushika hizo kazi.Ishu kuchapa kazi au kuzdhalilishwa?
Kibaya zaidi walimtaka ajiuzulu umakamu huku wakijua kinachoendelea. Ndo maana anateseka sana.Dhambi ya kusimamia utekaji na vitisho itamtafuna mpaka kufa hiyo ndio karma huwa haiongopi hata kidogo...hao wahuni wanampa Mama safari Tanga akafanye ufunguzi na Waziri Mkuu hajui kitu anajibu anavyotaka kumbe habari ishakuwa tofauti harafu wao kimya kimya wakiendelea na vikao wacha wapumzike aisee ingekua Nchi zingine angekua jela sio Bungeni huyo ghafra pole pole alianza kuja na tabasamu la unafiki la kitoto...
Mbona hamumwambii mbowe ajiuzuru kulinda heshima yake?Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.
Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.
Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.
View attachment 1769575
Mbowe anaingia vipi kwenye hii mada.Mbona hamumwambii mbowe ajiuzuru kulinda heshima yake?
Au yeye hastahili heshima?
Harafu anajificha kwenye kofia ya Ustaadh kumbe mnafiki tuu zilikua harakati mbaya sana hakujua kuwa kumbe Tanzania ina Watanzania walijua kale kakikundi kao ndio Watanzania pekee...Kibaya zaidi walimtaka ajiuzulu umakamu huku wakijua kinachoendelea. Ndo maana anateseka sana.