Dkt. Bashiru Ally jiuzulu ili kulinda heshima yako, kupewa Ubunge wa kuteuliwa ni kudhalilishwa

Dkt. Bashiru Ally jiuzulu ili kulinda heshima yako, kupewa Ubunge wa kuteuliwa ni kudhalilishwa

Hivi wapinzani halisi wa chadema ni Bashiru, Hayati na Pole pole au ccm?
 
Alikuwa anadhalilisha wenzie kwa kuwafanya bidhaa. Kimsingi aliwanunua akina Silinde, Gekul, Mollel, kwa mtindo wa human trafficking, ngoja na yeye adhalilike.

Ole wake mtu amtegemeaye mwanadamu
Bashiru ana dhalilikaje?
 
Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.

Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.

Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.

View attachment 1769575
Aliyataka mwenyewe,hivi unawezaje kumwambua mama kuwa ajiuzulu kumpisha mwanaume kuwa rais,kwakuwa nchi haina historia ta kuwa na rais mwanamke?
 
Wahuni walikua wanaipeleka Nchi kwenye machafuko hao maana walitaka kupindua meza ndio maana Wazee wa kazi walipoingia kazini kuwaamuru watangaze mpaka saa sita mwisho mimi matendo yao ya nyuma hata sikuyazingatia ila haya ya karibuni ndio yalikera mno huyo ilitakiwa awaombe msamaha Watanzania na akili makosa yake maisha yaendelee ni kwamba alishika kete mbovu tuu...
Una uhakika na hayo unayoyasema
 
Hapa ndipo elimu ya Tz inapotia mashaka, msomi kiwango cha Daktar unateseka namna hii kisa umepokwa cheo? Sawa mm na Form iv yangu inafikir hali itakuwaje?
 
Kumwambia ajiuzulu ni sawa, kikubwa tujue alikosea wapi. Yapo ambayo hatuyajui yanayomtesa huyu dogo.
 
Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.

Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.

Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.

View attachment 1769575
Anatia huruma huyu kima!
 
Na jibu la swali umelificha kwenye Aya ipi?..nimesoma mara sita na sikuona response ya swali langu lililotokana na tabia isiyopendeza ya Bashiru..
Bashiru alipokuwa UDSM na mwanachama wa CUF alikuwa bingwa wa kuongea masuala ya haki, demokrasia, usawa na Utawala bora.

Alipoletwa CCM na Binamu yake Mrundi mwenzie Magufuli akawa ndiye ana ratibu dhuluma dhidi ya upinzani. Ameshiriki kuwanunua akina Gekul, Silinde na Patrobas. Ameshiriki kuiba uchaguzi wa Serikali za mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020. Na aliwahi kunukuliwa akisema "Tutatumia dola kubaki madarakani"
 
Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.

Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.

Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.

View attachment 1769575
Wewe unajua alichokifanya huyo jamaa kwa mama hadi umtetee hivyo?
 
Dhambi ya kusimamia utekaji na vitisho itamtafuna mpaka kufa hiyo ndio karma huwa haiongopi hata kidogo...hao wahuni wanampa Mama safari Tanga akafanye ufunguzi na Waziri Mkuu hajui kitu anajibu anavyotaka kumbe habari ishakuwa tofauti harafu wao kimya kimya wakiendelea na vikao wacha wapumzike aisee ingekua Nchi zingine angekua jela sio Bungeni huyo ghafra pole pole alianza kuja na tabasamu la unafiki la kitoto...
Kibaya zaidi walimtaka ajiuzulu umakamu huku wakijua kinachoendelea. Ndo maana anateseka sana.
 
Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.

Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.

Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.

View attachment 1769575
Mbona hamumwambii mbowe ajiuzuru kulinda heshima yake?
Au yeye hastahili heshima?
 
Kibaya zaidi walimtaka ajiuzulu umakamu huku wakijua kinachoendelea. Ndo maana anateseka sana.
Harafu anajificha kwenye kofia ya Ustaadh kumbe mnafiki tuu zilikua harakati mbaya sana hakujua kuwa kumbe Tanzania ina Watanzania walijua kale kakikundi kao ndio Watanzania pekee...
 
Back
Top Bottom