Dkt. Bashiru Ally jiuzulu ili kulinda heshima yako, kupewa Ubunge wa kuteuliwa ni kudhalilishwa

Dkt. Bashiru Ally jiuzulu ili kulinda heshima yako, kupewa Ubunge wa kuteuliwa ni kudhalilishwa

Swali lilikua Nani kawanunua Nyalandu na mwenzie waliojoin chama Jana? Manake umesema wote waliojiunga kipindi chake aliwanunua, hivyo nikataka kujua kama pia aliacha amesaini cheque ya Nyalandu?!
Bashiru alipokuwa UDSM na mwanachama wa CUF alikuwa bingwa wa kuongea masuala ya haki, demokrasia, usawa na Utawala bora.

Alipoletwa CCM na Binamu yake Mrundi mwenzie Magufuli akawa ndiye ana ratibu dhuluma dhidi ya upinzani. Ameshiriki kuwanunua akina Gekul, Silinde na Patrobas. Ameshiriki kuiba uchaguzi wa Serikali za mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020. Na aliwahi kunukuliwa akisema "Tutatumia dola kubaki madarakani"
 
By the way utampa wewe ajira ya mshahara wa milioni 11 kwa mwezi, sitting allowance, V8, mafuta, Bima ya afya daraja la kwanza?
Kipi bora? Mshahara mzuri au heshima? Nyie ndio huwa mnakubali kudhalilishwa kisa tu unaangalia mshahara.
 
Hao ndio wasomi wetu wasio weza kujitegemea Dr mzima unawaza kuteuliwa
 
Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.

Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.

Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.

View attachment 1769575
Hapana kujiuzuru ni uoga, atapambana akiwa ndani na si nje,ipo siku tu Bashiru atarudi tena kwa kishindo. Atafanya kama Ruto wa Kenya anavyomfanya uhuru akose amani, narudia tena hakuna kutoka ,hakuna mwenye hati miliki ya CCM haya mambo ni ya kupita tu.
 
Nafikiri mnatoa hoja dhaifu kutokana na uelewa wenu.Bashiru ni senior lecturer wa UDSM.Ana uwezo wa kurudi UDSM na kuendelea kuwa lecturer,huku akiwa na amani.Na kufikikisha miaka 65 ,akapata mafao yake akatulia.Bashiru si wababaishaji kina Nyarandu.
Mkuu kwani una utani na Ndugu Nyarandu? Unamuhusishaje na hii mada? Mtake radhi
 
Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.

Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.

Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.

View attachment 1769575
Hivi kweli atakuwa na uwezo wa kusimama na kutoa hoja yoyote hapo bungeni?
 
Swali lilikua Nani kawanunua Nyalandu na mwenzie waliojoin chama Jana? Manake umesema wote waliojiunga kipindi chake aliwanunua, hivyo nikataka kujua kama pia aliacha amesaini cheque ya Nyalandu?!
Nyalandu asingeweza kurudi with Mwendazake alive. Mwendazake was insane
 
Bashiru alipokuwa UDSM na mwanachama wa CUF alikuwa bingwa wa kuongea masuala ya haki, demokrasia, usawa na Utawala bora.

Alipoletwa CCM na Binamu yake Mrundi mwenzie Magufuli akawa ndiye ana ratibu dhuluma dhidi ya upinzani. Ameshiriki kuwanunua akina Gekul, Silinde na Patrobas. Ameshiriki kuiba uchaguzi wa Serikali za mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020. Na aliwahi kunukuliwa akisema "Tutatumia dola kubaki madarakani"

Nyalandu asingeweza kurudi with Mwendazake alive. Mwendazake was insane
Duh.. naomba nilitoe swali.. manake sidhani kama utanijibu karne hii..Ila nashukuru Kwa kunifahamisha maswala mengine ambayo sikuyajua awali...Mei mosi njema kwako.
 
Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.

Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.

Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.

View attachment 1769575
Mind your own business please!
 
Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.

Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.

Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.

View attachment 1769575
Uvumilivu ni muhimu sana kwenye utumishi wa Umma.
Kwanza hapo Bashiru anavuta parefu sana kuliko wewe.
 
Kazidiwa hadhi na waliowanunua leo waitara,gekul,silinde,mkumbo ni mawaziri.Yaani wakubwa zake.
 
Dua la kuwafedhehesha wote wale waliovuruga uchaguzi mkuu linaendelea fanya kazi
 
Bashiru bado ni mbunge na baada ya miaka mitano tunampa uongozi mwingina nyie roho mbaya na mafisadi mtabaki mkilialia na safari inaendelea.
Bashiru sio type yenu watu wenye vyeti feki na cv za kubumba.
Bado una mawazo haya ya mwendazake, hukomi!! 😛😛😛
 
Back
Top Bottom