THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Kwani Anaheshima gani alionayo mpaka ailinde!!🙄🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una roho ya mwendazake.Bashiru bado ni mbunge na baada ya miaka mitano tunampa uongozi mwingina nyie roho mbaya na mafisadi mtabaki mkilialia na safari inaendelea.
Bashiru sio type yenu watu wenye vyeti feki na cv za kubumba.
Kila utawala na zama zake.hilo ndo fungu lake. Nikwakuwa humpend jpm ila ungekuwa upande wa jpm usinge muona bashiru mbaya.Kuhusu huyu Bashiru imeisha hiyo arudi kushika chaki UDSM..Kutolewa kwenye nafasi ya KMK hata mwezi haujaisha ni dharau ya hali ya juu
Mkuu wa usalama wa taifa wa sasa unamkumbuka?unakumbuka safari zake ?unakumbuka alimopitia?Kwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.
Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.
Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.
View attachment 1769575
Yaaani unavyoongea utadhani huyu Bashiru ni mtu muhimu sana katika siasa na uongozi hapa nchini, kumbe ni mtu ambaye hana jambo lolote muhimu alilofanya kwenye siasa za nchi hij zaidi ya kuharibu uchaguzi wa 2019 na ule wa 2020. Bashiru is not that much special aseeHapana kujiuzuru ni uoga, atapambana akiwa ndani na si nje,ipo siku tu Bashiru atarudi tena kwa kishindo. Atafanya kama Ruto wa Kenya anavyomfanya uhuru akose amani, narudia tena hakuna kutoka ,hakuna mwenye hati miliki ya CCM haya mambo ni ya kupita tu.
Hayo ndo matunda ya kufanya kazi kwa kujipendekezaKwanza kabisa kiustaarabu kwa nafasi ya katibu mkuu kiongozi uliyokuwa nayo haikupaswa kuondolewa mapema namna hiyo. Hata kama ulikuwa haufai kuwa na hiyo nafasi ilitakiwa mkuu wa kaya akuvumilie uvute naye siku hata miezi sita.
Lakini ndani ya mwezi na siku kadhaa ukawa umeg'olewa. Ok sio mbaya maana kwa utumishi wa umma unatakiwa uwe tayari kwa lolote. Lakini sio kwa kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.
Madhari umeshatii mamlaka ya uteuzi basi we jiuzulu na uanze zako tena mimi nakushauri achana na masuala ya siasa ili kulinda heshima zako. Kama vipi rudi Bukoba ukaendeleze kilimo na biashara ya matoke. Maana walichokufanyia ni udhalilishaji.
View attachment 1769575
Sio tuu kupita yeye, katika utumishi wa umma, mishahara huwa haipunguzwi ukiwa tayari umesha upata hata baada ya kushushwa cheo au madaraka.Uvumilivu ni muhimu sana kwenye utumishi wa Umma.
Kwanza hapo Bashiru anavuta parefu sana kuliko wewe.
Si ajabu na wewe una degree.Sio tuu kupita yeye, katika utumishi wa umma, mishahara huwa haipunguzwi ukiwa tayari umesha upata hata baada ya kushushwa cheo au madaraka.
Kama Katibu Kiongozi anavuta mshahara mkubwa kuliko Speaker, basi Bashiru atakuwa na mshahara mkubwa kuliko Speaker.
Ila marupurupu ya Cheo ulichopatia mshahara mnono ukivuliwa basi marupurupu yake hupati tena. Kwa hali hiyo marupurupu ya nafasi ya Katibu Kiongozi Bashiru hato yapata tena.
Mimi nafiiri alikuwa hajayapitia mafaili vizuri.Hivi unajua kwa mwezi mmoja na siku kadhaa alizo hudumu kama Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu amejua siri kiasi gani za nchi! Unafahamu uzito wa hiyo nafasi? Acha kumchochea aanze kutunishiana misuli na STATE kwa kususa Ubunge, atashughurikiwa.
Naam kuishi kwingi, kuona mengi.Ajifunze kutoka kwa mwenzake katibu mkuu mpya, maisha sometimes ni kuchukulia poa.