NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Mama kama utasoma mwandiko wangu huu hapa jukwaani!
Mtu pekee ambae atakuwa loyal kwako kutokana na hofu aliyonayo baada ya yale ya kipindi kile ni Dkt. Bashiru Ally kakurwa hebu mpe nafasi naamini hatokuangusha!
Unachohitaji ni ushindi TU na ushindi unapatikana Kwa kiteua wale waliodhaniwa hawafai Tena kumbe wanafaa!!
Mpe huyu Dkt. nafasi atakusaidia!
Kazi iendelee!
Mungu ibariki Jamhuri yetu ya Muungano wa Tanzania!
Pia soma
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Mtu pekee ambae atakuwa loyal kwako kutokana na hofu aliyonayo baada ya yale ya kipindi kile ni Dkt. Bashiru Ally kakurwa hebu mpe nafasi naamini hatokuangusha!
Unachohitaji ni ushindi TU na ushindi unapatikana Kwa kiteua wale waliodhaniwa hawafai Tena kumbe wanafaa!!
Mpe huyu Dkt. nafasi atakusaidia!
Kazi iendelee!
Mungu ibariki Jamhuri yetu ya Muungano wa Tanzania!
Pia soma
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia