Dkt. Bashiru Ally Kakurwa anatufaa kuwa Makamu Mwenyekiti Bara

Dkt. Bashiru Ally Kakurwa anatufaa kuwa Makamu Mwenyekiti Bara

Dokta huyu huyu aliyefukuzwa Ikulu bila heshima.
 
Huyu Mtu inaonekana kabisa ni mtu aliyefika hapo kwa msaada wa Msoga Gang, inakuwaje kwa hivi sasa kama vile kukosa kuelewana?
Msoga gang walitumika wakamweka Sasa na wao walitaka kuifanya jamhuri Mali yao Kwa kuanza kuandaa watoto wao kushika kiti wakaanza spinning zao,

Wazalendo wakashtuka nadhani ndio hiyo safisha safisha inaendelea Hadi sasa!!!

The state wanatumia akili sana yaani wahanga wanajikaanga wenyewe!

Nimewasoma kidogo wanakutengenezea adui wanawachonganisha mwisho wa siku wanapitisha ajenda zao kati kati!
 
Msoga gang walitumika wakamweka Sasa na wao walitaka kuifanya jamhuri Mali yao Kwa kuanza kuandaa watoto wao kushika kiti wakaanza spinning zao,

Wazalendo wakashtuka nadhani ndio hiyo safisha safisha inaendelea Hadi sasa!!!

The state wanatumia akili sana yaani wahanga wanajikaanga wenyewe!

Nimewasoma kidogo wanakutengenezea adui wanawachonganisha mwisho wa siku wanapitisha ajenda zao kati kati!
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI sawa nimekuelewa mkuu shukurani sana, kumbe DS wana nia njema kabisa na taifa na si kwa kikundi fulani, ila wako slowly slowly sana kwenye kutekeleza mambo kwa ajili ya taifa, wajitahidi wawe na speed, na sijui issue ya Bandari State wameridhia kwa moyo mweupe kuhusu kumilikiwa na DP World, ingawa mm siko ladhi na DP World.
 
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI sawa nimekuelewa mkuu shukurani sana, kumbe DS wana nia njema kabisa na taifa na si kwa kikundi fulani, ila wako slowly slowly sana kwenye kutekeleza mambo kwa ajili ya taifa, wajitahidi wawe na speed, na sijui issue ya Bandari State wameridhia kwa moyo mweupe kuhusu kumilikiwa na DP World, ingawa mm siko ladhi na DP World.
Nyaraka za TEC zinaonyesha dhahiri shahiri hawaafiki,na ndio maana Siri ya mkataba ikavuja na kelele zikawa nyingi!!

Nadhani hiyo ndio kete itakayotumiwa kumzuia mtia nia,mlinganyo upon hapo TU,yaani ilivujishwa maksudi kwa nyakati zijazo kwenye vikao vyao!!

TEC ni sehem yao hao jamaa,ndio maana hata msoga 2010 alipata wakati mgumu kidogo kwenye uchaguzi coz aligombea dhidi ya kijana wao ambae ni Dr. Mihogo huyo alievuliwa hadhi ya ubalozi huku akiendelea kusongesha hoja ya Katiba mpya!
 
Wananchi wanauliza Kwanini mzunguko uwe wa wagi walewale tu?
Je hakuna watanzania wengine wenye maono mapya ?

Badili mfumo wa upatikanaji Viongozi badała ya huwa sasa wa kujuana.?!
 
Nyaraka za TEC zinaonyesha dhahiri shahiri hawaafiki,na ndio maana Siri ya mkataba ikavuja na kelele zikawa nyingi!!

Nadhani hiyo ndio kete itakayotumiwa kumzuia mtia nia,mlinganyo upon hapo TU,yaani ilivujishwa maksudi kwa nyakati zijazo kwenye vikao vyao!!

TEC ni sehem yao hao jamaa,ndio maana hata msoga 2010 alipata wakati mgumu kidogo kwenye uchaguzi coz aligombea dhidi ya kijana wao ambae ni Dr. Mihogo huyo alievuliwa hadhi ya ubalozi huku akiendelea kusongesha hoja ya Katiba mpya!
Aiseee Father Kitime, nakumbuka alivyosoma ule waraka juu ya kupiga kukodishwa Bandari, na baadaye Bibie na Manyuzi wakaamua kwenda Vatican kukutana na boss wa Tec, sijui pale Bibie alipata point 3?
 
Nyaraka za TEC zinaonyesha dhahiri shahiri hawaafiki,na ndio maana Siri ya mkataba ikavuja na kelele zikawa nyingi!!

Nadhani hiyo ndio kete itakayotumiwa kumzuia mtia nia,mlinganyo upon hapo TU,yaani ilivujishwa maksudi kwa nyakati zijazo kwenye vikao vyao!!

TEC ni sehem yao hao jamaa,ndio maana hata msoga 2010 alipata wakati mgumu kidogo kwenye uchaguzi coz aligombea dhidi ya kijana wao ambae ni Dr. Mihogo huyo alievuliwa hadhi ya ubalozi huku akiendelea kusongesha hoja ya Katiba mpya!
Master NAMBA MOJA AJAYE NCHINI kwa hali ilivyo kutakuwa na mvutano sana 2025 kupata mpeperusha bendera?

1. Uzao wa Sara watasema "mtoto wetu hakumaliza mihula yake miwili kwa hiyo ni zamu yetu kupeperusha bendera"
2. Team Mkojani Kizimkazi Fc" makubaliano ya chama mtu akalie kiti miaka 10, kwa hiyo miaka 10 bado hatujamaliza kwa hiyo tunastahili kupeperusha bendera.

3......... "kumbukeni Team Mkojani awamu yenu inayoisha si awamu ya 6 bali ni awamu ile ile ya 5, kwa hiyo mfumo unataka mgombea mpya 2025.

Je Bakwata wao watataka waende na Bibie au mtu tofauti?

Wazee wa chama watatumia busara zipi?
 
Mama kama utasoma mwandiko wangu huu hapa jukwaani!

Mtu pekee ambae atakuwa loyal kwako kutokana na hofu aliyonayo baada ya yale ya kipindi kile ni Dkt. Bashiru Ally kakurwa hebu mpe nafasi naamini hatokuangusha!

Unachohitaji ni ushindi TU na ushindi unapatikana Kwa kiteua wale waliodhaniwa hawafai Tena kumbe wanafaa!!

Mpe huyu Dkt. nafasi atakusaidia!

Kazi iendelee!

Mungu ibariki Jamhuri yetu ya Muungano wa Tanzania!

Pia soma
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Hapana mkuu ni msomi alietaka kuihujumu katiba apigwe chini ivyo ivyo
 
Aiseee Father Kitime, nakumbuka alivyosoma ule waraka juu ya kupiga kukodishwa Bandari, na baadaye Bibie na Manyuzi wakaamua kwenda Vatican kukutana na boss wa Tec, sijui pale Bibie alipata point 3?
 

Attachments

  • FB_IMG_1724008456636.jpg
    FB_IMG_1724008456636.jpg
    68 KB · Views: 1
Dr. Bashiru Ally ana mapungufu 2:-
1. Ni mwanachama wa CUF.
2. Ni Sukuma gang.
 
Back
Top Bottom