Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Well mama aliwa trust watu wa aina hiyo kaishia kuwatumbua. Haitokuwa rahis, na ccm ina watu wengi potential kuliko bashiruNa hiyo ndio kete pekee atakayoitumia mama ili huyu Mzee awe loyal kwake!
Kwani CCM ni chama cha Wanasiasa wasafi?Mwizi huyo aliyetaka kuipora hazina baada ya kifo cha mwenda zake.
Msoga gang walitumika wakamweka Sasa na wao walitaka kuifanya jamhuri Mali yao Kwa kuanza kuandaa watoto wao kushika kiti wakaanza spinning zao,Huyu Mtu inaonekana kabisa ni mtu aliyefika hapo kwa msaada wa Msoga Gang, inakuwaje kwa hivi sasa kama vile kukosa kuelewana?
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI sawa nimekuelewa mkuu shukurani sana, kumbe DS wana nia njema kabisa na taifa na si kwa kikundi fulani, ila wako slowly slowly sana kwenye kutekeleza mambo kwa ajili ya taifa, wajitahidi wawe na speed, na sijui issue ya Bandari State wameridhia kwa moyo mweupe kuhusu kumilikiwa na DP World, ingawa mm siko ladhi na DP World.Msoga gang walitumika wakamweka Sasa na wao walitaka kuifanya jamhuri Mali yao Kwa kuanza kuandaa watoto wao kushika kiti wakaanza spinning zao,
Wazalendo wakashtuka nadhani ndio hiyo safisha safisha inaendelea Hadi sasa!!!
The state wanatumia akili sana yaani wahanga wanajikaanga wenyewe!
Nimewasoma kidogo wanakutengenezea adui wanawachonganisha mwisho wa siku wanapitisha ajenda zao kati kati!
Nyaraka za TEC zinaonyesha dhahiri shahiri hawaafiki,na ndio maana Siri ya mkataba ikavuja na kelele zikawa nyingi!!NAMBA MOJA AJAYE NCHINI sawa nimekuelewa mkuu shukurani sana, kumbe DS wana nia njema kabisa na taifa na si kwa kikundi fulani, ila wako slowly slowly sana kwenye kutekeleza mambo kwa ajili ya taifa, wajitahidi wawe na speed, na sijui issue ya Bandari State wameridhia kwa moyo mweupe kuhusu kumilikiwa na DP World, ingawa mm siko ladhi na DP World.
Aiseee Father Kitime, nakumbuka alivyosoma ule waraka juu ya kupiga kukodishwa Bandari, na baadaye Bibie na Manyuzi wakaamua kwenda Vatican kukutana na boss wa Tec, sijui pale Bibie alipata point 3?Nyaraka za TEC zinaonyesha dhahiri shahiri hawaafiki,na ndio maana Siri ya mkataba ikavuja na kelele zikawa nyingi!!
Nadhani hiyo ndio kete itakayotumiwa kumzuia mtia nia,mlinganyo upon hapo TU,yaani ilivujishwa maksudi kwa nyakati zijazo kwenye vikao vyao!!
TEC ni sehem yao hao jamaa,ndio maana hata msoga 2010 alipata wakati mgumu kidogo kwenye uchaguzi coz aligombea dhidi ya kijana wao ambae ni Dr. Mihogo huyo alievuliwa hadhi ya ubalozi huku akiendelea kusongesha hoja ya Katiba mpya!
Bosi wa Tec yupo vatican??Aiseee Father Kitime, nakumbuka alivyosoma ule waraka juu ya kupiga kukodishwa Bandari, na baadaye Bibie na Manyuzi wakaamua kwenda Vatican kukutana na boss wa Tec, sijui pale Bibie alipata point 3?
Master NAMBA MOJA AJAYE NCHINI kwa hali ilivyo kutakuwa na mvutano sana 2025 kupata mpeperusha bendera?Nyaraka za TEC zinaonyesha dhahiri shahiri hawaafiki,na ndio maana Siri ya mkataba ikavuja na kelele zikawa nyingi!!
Nadhani hiyo ndio kete itakayotumiwa kumzuia mtia nia,mlinganyo upon hapo TU,yaani ilivujishwa maksudi kwa nyakati zijazo kwenye vikao vyao!!
TEC ni sehem yao hao jamaa,ndio maana hata msoga 2010 alipata wakati mgumu kidogo kwenye uchaguzi coz aligombea dhidi ya kijana wao ambae ni Dr. Mihogo huyo alievuliwa hadhi ya ubalozi huku akiendelea kusongesha hoja ya Katiba mpya!
Hapana mkuu ni msomi alietaka kuihujumu katiba apigwe chini ivyo ivyoMama kama utasoma mwandiko wangu huu hapa jukwaani!
Mtu pekee ambae atakuwa loyal kwako kutokana na hofu aliyonayo baada ya yale ya kipindi kile ni Dkt. Bashiru Ally kakurwa hebu mpe nafasi naamini hatokuangusha!
Unachohitaji ni ushindi TU na ushindi unapatikana Kwa kiteua wale waliodhaniwa hawafai Tena kumbe wanafaa!!
Mpe huyu Dkt. nafasi atakusaidia!
Kazi iendelee!
Mungu ibariki Jamhuri yetu ya Muungano wa Tanzania!
Pia soma
- Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Aiseee Father Kitime, nakumbuka alivyosoma ule waraka juu ya kupiga kukodishwa Bandari, na baadaye Bibie na Manyuzi wakaamua kwenda Vatican kukutana na boss wa Tec, sijui pale Bibie alipata point 3?
Ndo nimesoma sijaelewa huyo boss wa tec alie vatican ni yupiMkuu Naby Keita soma vizuri comment yangu
(Bibie na Manyuzi wakaamua kwenda Vatican kukutana na boss wa Tec)Ndo nimesoma sijaelewa huyo boss wa tec alie vatican ni yupi
Ndo sijaelewa boss wa tec alie vatican ni yupi(Bibie na Manyuzi wakaamua kwenda Vatican kukutana na boss wa Tec)
Miongoni mwa sehemu yangu ya comment ni hiyo, je hapo kuna sentensi ya wakati uliopo????
Papa ni boss wa Rc, ikiwemo na Tec ya TzNdo sijaelewa boss wa tec alie vatican ni yupi