Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru Ally: Mgombea wa Urais ndani ya CCM ambae anaendelea hajawahi kupingwa

Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru Ally: Mgombea wa Urais ndani ya CCM ambae anaendelea hajawahi kupingwa

Toka ajiunge na siasa na kuwa na nafasi aliyonayo sasa amekua mtu asiyeisimamia elimu yake
CCM hawataki Elimu ikiue hata sasa covid 19 inaenea mashuleni kupitia school bus watoto wanabanana sana waziri wa Elimu kabariki vyote ili corona isambae wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu
 
CCM wanaombea corona iamke upige kwa nguvu wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi ndiyo maana sasa hawahimizi kunawa mikono kupaka vitakasa mikono kuvaa barakoa
 
CCM wanasaka kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu kwa udi na uvumba na sasa wameacha kutangaza takwimu za corona makusudi ili watanzania waambukizane wafe kwa wingi wapate kisingizio
 
Wakitaka apaniki wamuulize takwimu za covid 19 Nchini

Hakuna wa kumuuliza,si kwa utawala huu. Kwanza tv walipost ile taarifa ya ubalozi wa Marekani matokeo yake wamefungiwa miezi 9. Achana kabisa Nduli Magufuli yeye anataka kusifiwa na kuabudiwa tu.
 
Alimkimbia Hassan ngoma labda aliogopa ishu ya kulewa kupita kiasi
Hassan ngoma ni CCM tokea lini awe na maswali ya msingi zaidi ya sifia sifia tu, kwanza ana tuhuma ya kumwekea marehemu ruge slow poison ikamletea kansa iliyomuua
 
Hassan ngoma ni rafiki wa Naibu Rais ndugu Daud Bashite ambaye alikuwa Adui namba moja wa Ruge mutahaba,
 
CCM wanaombea corona iamke upige kwa nguvu wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi ndiyo maana sasa hawahimizi kunawa mikono kupaka vitakasa mikono kuvaa barakoa
CCM hii iliyosema hakuna kuiogopa Corona tupige kazi au ulimaanisha chadema waliosema tusifanye kazi tukae ndani kwa ajili ya Corona (sijui haya macha Domo walikuwa na Nia gani) Nani hapo ni muoga wa chaguzi? Bila shaka na Cha Domo, CCM Ni ile ile na ushindi Kama desturi ya CCM,tunasubiri tarehe tu tuwapige kotekote mbele na nyuma [emoji1787][emoji23][emoji2960]
 
Bashiru Ally akimbiagi mijadala kama K-Vant aliemkimbia Hassan Ngoma.
Hassan ngoma ni rafiki wa Naibu Rais Bashite lazima chadema wakae nao mbali asije kuwafanyia alichomfanyia Marehemu Ruge
 
CCM hii iliyosema hakuna kuiogopa Corona tupige kazi au ulimaanisha chadema waliosema tusifanye kazi tukae ndani kwa ajili ya Corona (sijui haya macha Domo walikuwa na Nia gani) Nani hapo ni muoga wa chaguzi? Bila shaka na Cha Domo, CCM Ni ile ile na ushindi Kama desturi ya CCM,tunasubiri tarehe tu tuwapige kotekote mbele na nyuma [emoji1787][emoji23][emoji2960]
CCM ni ile ile ya wizi zipo wapi trilion 1.5 zipo wapi bilion 12 za Ndungai, CCM mlisema hakuna corona mkiwa na lengo isambae kwanza ili mwezi wa nane na tisa watu wafe kwa wingi mpate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu, hamtangazi takwimu ili watu wajue hakuna corona waendelee kuambukizana waje kufa baadae.
 
Aulizwe, " Kugombea kuongoza vyombo vya dola , maane yake nini? "
Huwezi jua kama sio mwanaCCM, fomu yetu huwa ni moja kwa wagombea wote, uRais, ubunge na udiwani.
Screenshot_20200708-160213.jpg
 
CCM ni ile ile ya wizi zipo wapi trilion 1.5 zipo wapi bilion 12 za Ndungai, CCM mlisema hakuna corona mkiwa na lengo isambae kwanza ili mwezi wa nane na tisa watu wafe kwa wingi mpate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu, hamtangazi takwimu ili watu wajue hakuna corona waendelee kuambukizana waje kufa baadae.
Zipo wapi Bill 8 na ushee?
 
Mda huu kama ni kupanda CCM wapo shambani wanapanda covid 19 ili mwezi wa nane tisa watanzania wengi watakuwa wameambukizana sana waanze kufa kama nzige wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu, CCM hawataki kuhimiza watu kunawa mikono, kuvaa barakoa kupaka vitakasa mikono wakati ilisaidia kupunguza hata magonjwa mengine ikiwemo mafua ya kawaida, Mataifa mengi hawasalimiani kwa mikono lakini Tanzania sasa mikono imeanza kusambaza covid 19 ikiwa ni sera mojawapo ya CCM
 
Subirini mumsikie mwamba anavyounguruma mbona maogopa kabla!

Hana jipya zaidi ya kutambia nguvu za dola. Bashiru kabla ya kupata madaraka ndani ya ccm alikuwa anajenga hoja za ushawishi, baada ya kupewa madaraka na Magufuli, na yeye anamuiga ili aonekane anaenda sawa naye. Matokeo yake kageuka kuwa mchekeshaji wa mfalme.
 
Zipo wapi Bill 8 na ushee?
Zipi? CAG hakuona kitu mmeforce Takukuru nao wameambulia patupu, ebu jaribu kuwaruhusu Takukuru wapite CCM makao makuu uone kivumbi hakuna CCM atapona wote ni jela upo ufisadi wa kutisha na pesa nyingi inapigwa kwa kisingizio cha kuwanunua wabunge madiwani kudhoofisha chadema kuwabambikia kesi na mengineyo, madalali wa siasa huko CCM wametajirika kwa mgongo wa kuihujumu chadema.
 
Back
Top Bottom