Dkt. Bashiru ana baraka zote za wenye nchi. Nadhani kauli za "anaupiga mwingi" zinamkera hata Rais Samia

Dkt. Bashiru ana baraka zote za wenye nchi. Nadhani kauli za "anaupiga mwingi" zinamkera hata Rais Samia

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Rais Samia ameelemewa amechoshwa na kundi la wanyonyaji wanaojipendekeza kwake ili wapendelewe kwenye biashara zao Hali hii Samia na wenye nchi hawapendezwi nayo hata kidogo Taifa linalea vijana wa kujipendekeza kulinda nafasi zao haijalishi hata kama ni uongo kiasi gani.

Samia hapendezwi hata siku moja na nyie walamba asali mnamuingilia kwenye kazi zake wenye nchi watakuwa wamempa Baraka zote Dr Bashiru kutoa onyo kwa machawa na kwa wanyonyaji wachache wanaomshika mkono Samia na kupamba wanyonyaji hyku wakiacha mamilioni ya Watanzania wanateseka.
 
Mbona mikoa inashindana Kwa mapambio amekaa kimya? Juzi ilikuwa Mbeya eti viongozi wa dini wameandaa kongamano la pongezi. Wiki ijayo nasikia kina mama wa Rukwa wameandaa kongamano la sifa na zawadi na Kila atakayeshiriki ameamriwa mchango na Sare atanunua.
 
Rais Samia ameelemewa amechoshwa na kundi la wanyonyaji wanaojipendekeza kwake ili wapendelewe kwenye biashara zao Hali hii Samia na wenye nchi hawapendezwi nayo hata kidogo Taifa linalea vijana wa kujipendekeza kulinda nafasi zao haijalishi hata kama ni uongo kiasi gani.

Samia hapendezwi hata siku moja na nyie walamba asali mnamuingilia kwenye kazi zake wenye nchi watakuwa wamempa Baraka zote Dr Bashiru kutoa onyo kwa machawa na kwa wanyonyaji wachache wanaomshika mkono Samia na kupamba wanyonyaji hyku wakiacha mamilioni ya Watanzania wanateseka.
Wakubali basi Katiba ya Warioba irudi na kuwa ndiyo Katiba ya nchi, bila hivuo lazima itabakia hivyo kwakua ni kwakujipendekeza tu ndiyo unaweza kufikia chungu cha asali na siyo kupata watenda kazi waadilifu kwakua watendaji asilimia karibu 100 anawateua mtu mmoja direct or indirect sasa wataachaje kumsifia? Ni mfumo na siyo kosa la individuals
 
Wahuni wa mjini Wanafanya yao kwa kutoa sifa uchwara. Mama asipostuka atavuna mabua.
 
Labda anaamini sifa za kijinga zitampeleka ikulu.
 
Mbona mikoa inashindana Kwa mapambio amekaa kimya? Juzi ilikuwa Mbeya eti viongozi wa dini wameandaa kongamano la pongezi. Wiki ijayo nasikia kina mama wa Rukwa wameandaa kongamano la sifa na zawadi na Kila atakayeshiriki ameamriwa mchango na Sare atanunua.
Mmmmmh haya
 
Rais Samia ameelemewa amechoshwa na kundi la wanyonyaji wanaojipendekeza kwake ili wapendelewe kwenye biashara zao Hali hii Samia na wenye nchi hawapendezwi nayo hata kidogo Taifa linalea vijana wa kujipendekeza kulinda nafasi zao haijalishi hata kama ni uongo kiasi gani.

Samia hapendezwi hata siku moja na nyie walamba asali mnamuingilia kwenye kazi zake wenye nchi watakuwa wamempa Baraka zote Dr Bashiru kutoa onyo kwa machawa na kwa wanyonyaji wachache wanaomshika mkono Samia na kupamba wanyonyaji hyku wakiacha mamilioni ya Watanzania wanateseka.

Ni bahati mbaya sana kwamba sisi tumekuwa na tunaendelea kuwa taifa la chawa (left, center and right). Ukitaka kujua ukubwa wa hili tatizo, angalia kule upinzani hali ikoje. Mwanachama wa CHADEMA, kwa mfano, akidiriki kumpinga Ayatollah Mbowe, BAVICHA na BAWACHA, bila kupoteza muda, wanamzika huyo mwanachama akiwa hai. Yuko wapi Sumaye? Yuko wapi Zitto? Yuko wapi Kafulila? The list goes on! Hili tatizo ni kubwa kupindukia.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom