Dkt. Bashiru anatoa wapi ujasiri wa kutishia 'usalama' wa viongozi wa juu? Huu ni uhaini sio ukosoaji. Je, ana mahusiano na mataifa ya nje?

Ndio ana mahusiano na nchi za nje ya wale walamba asali na chawa wao.
 
Usalama wa viongozi wewe unaujua?
Acha kujibebesha tenga la nyanya mbovu
 
Sisi wananchi tunataka majibu ya hoja zake, masuala ya sijui nje ya nchi yamekujaje? Tunataka majibu haraka.
 
Nani yuko nyumba ya Bashiru? Je, ametokea kuropoka yaliyokuwa moyoni mwake siku zote au alidhamiria kuyatoa ? Kuna nguvu ya nje ya Tanzania yetu anayojivunia? Ana asili ya Uraia nje ya Tanzania?
kuni mbichi zitawaibua tu mmoja mmoja, na bado !!! Mh. Bushiru washaanza kutoa pua, koleza baba koleza !!
 
Tuna taifa la watu wapumbavu sana hakika. Hio nguvu mngeitumia kuyasema matatizo ya nishati za umeme na maji unadhani ingekuaje? Acheni upumbavu kabisa nyie mnaojipendekeza pendekeza.
Huyu Bibi katengeneza taifa la machawa tupu. Kutwa kucha kusifia upuuzi tu.
 
Walamba asali mkuki umewakita vizuri, ninyi huwa hampendi kuambiwa ukweli.
 
Hakuna mahali katishia usalama ni vile hujamwelewa au ni kwa sababu mlishazoea kusifiana hata pasipostahili, pole sana mkuu.
 
anatishia Usalama wa kiongozi wa nchi. Anaongea kwa kujiamini mbele ya kadamnasi na vyombo vya habari kuwa Usalama wa viongozi hauko na uhakika na watishwe.
We ni mpumbavu kwa kweli.

Umejazia nyama hapa , umetoa wapi haya maneno??

Upumbavu huu.


Rudisheni umeme punguzeni mfumoko wa bei, Acheni upuuzi
 
Apigwe apigwe tu
 
Mkuu, tafsiri yako umeiokota umeiokota wapi?
 
Bashiru na mjinga mmoja tu huwezi mtishia raisi kindezi hivyo. Mbona wakati akiwa na buyu la asali wakati wa jiwe hakuyasema haya? Kwani wakulima wa nchi hii lini walikuwa na afueni ya maisha?
Huyu ni rahisi au rais?

Nimeuliza si kwa ubaya, wakulima wakutengenezwa wameandamana Posta, sijui ndio mashamba yalipo.
 
Mtoa mada ungetumia akili kufikiri ungesaidia sana taifa hili.But now tumbocracy and ignorance feature you.
 
Mawazo na akili yako ni kama vile umekulia kwenye zile siasa za ujamaa na kujitegemea. This is not North Korea, China or Russia. It's Tanzania Bro!
 
Wakili msomi Fatma karume kashatoa opinion zake kwenye hili. Re visit twitter ya fatma anadai kuna nguvu nyuma ya bashiru invicible force i na anafanya hivyo kushusha approval ratings zilizochangiwa kuanzishwa na ukame wa maji na umeme.

Eti ni ligi ya 2025 election.
 
Ivi karibu mkuu kiongozi akistaafu si huwa ana ulinzi?
 
Ameishikilia mkononi ripoti ya ubadhilifu wa mali za chama chawala, hakuna wa kumgusa, labda kama anataka anuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…