Dkt. Bashiru anatoa wapi ujasiri wa kutishia 'usalama' wa viongozi wa juu? Huu ni uhaini sio ukosoaji. Je, ana mahusiano na mataifa ya nje?

Mbona mmeingiza baridi hivyoo? Semeni anatumiwa na Cia ila jomba anahoji tu kama mtanzania, sasa sijui ni dhambi au siyo utamuduni kuhoji?
 
Mbona unaandika kama unakimbizwa?
Alitishia kivipi mbona huweki maneno aliyotishia nayo?
Unajua kutishia au unakurupuka tu?
Ni vyema uwe unashikirisha akili wakati wa kuandika kukurupuka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…