Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona fukuto linatoka nje jua huko ndani joto limezidiUVCCM wameanza kwa kusema Dr. Bashiru ajitafakari.
Kwangu mimi naona hata ubunge wanaweza kumnyanganya maana directly ame m-attack Samia kwa kauli kuwa MVIWATA hawapashiwi kuwa wapambe wa kusifia eti kuupiga mwingi etc etc
Time will tell!
Hivi kwanini wapinzani huwa mnajiuza?Huyo pimbi wa kihutu na yule chakubanga ndiyo walipiga sana hela ya kununua wapinzani uchwara,ni mnafiq sana
Kusema haupigi mwingi ndy kakosa staha?Kukosowa kuwe kwa staha.
Ukweli hauzungumzwi tu kimuhemko.
Angalia unazungumza WAPI,WAKATI GANI,VIPI, na kwa NANI. Ukipata busara hiyo hakuna atakae kulaumu.
ObtuseNONSENSE..!!!
Nchi hii ina watu wa hovyo sana kwaio kosa la Bashiru ni kuongea anachokiamini hivi sasaYaani humu JF kuna mijitu mijinga kiwango mfano hakuna!
Dr. Bashiru huyu leo aitwe freemind? hiyo freemind ya Bashiru imeanza leo ama jana?
Kwamba watu mara hii wameshasahau ni huyu huyu aliyekuwa akiwatishia wapinzani kwa kauli zake ili tu apate kumkosha bwanaake mwendazake?
Si ni huyu na mwenzie slow slow walikuwa wakifadhili biashara haramu wa kununua wapinzani, kupitia vitendo vyao hivyo wakaumiza watanzania walio wengi kwa matukio ya kigaidi?
Akina Alphonce Mawazo wako wapi leo?
Aaakh....... wacha niishie hapa kwanza!!!!!