Dkt. Bashiru ata-survive consequences za matamshi yake?

Dkt. Bashiru ata-survive consequences za matamshi yake?

UVCCM wameanza kwa kusema Dr. Bashiru ajitafakari.

Kwangu mimi naona hata ubunge wanaweza kumnyanganya maana directly ame m-attack Samia kwa kauli kuwa MVIWATA hawapashiwi kuwa wapambe wa kusifia eti kuupiga mwingi etc etc

Time will tell!
Ukiona fukuto linatoka nje jua huko ndani joto limezidi
 
mazezeta ya ccm yamegongwa nyundo ya kichwa na bashiru yamebaki yamekodoa macho kodo.
 
Kukosowa kuwe kwa staha.
Ukweli hauzungumzwi tu kimuhemko.
Angalia unazungumza WAPI,WAKATI GANI,VIPI, na kwa NANI. Ukipata busara hiyo hakuna atakae kulaumu.
Kusema haupigi mwingi ndy kakosa staha?

Hii ni inchi ya demokrasia Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake

Na ndy maana Kuna vyama vya upinzani..

Tukubali kukosolewa Ili tujuwe makosa yetu..

Sisi sote ni binadamu hatujakamilika.
 
Yaani humu JF kuna mijitu mijinga kiwango mfano hakuna!
Dr. Bashiru huyu leo aitwe freemind? hiyo freemind ya Bashiru imeanza leo ama jana?
Kwamba watu mara hii wameshasahau ni huyu huyu aliyekuwa akiwatishia wapinzani kwa kauli zake ili tu apate kumkosha bwanaake mwendazake?
Si ni huyu na mwenzie slow slow walikuwa wakifadhili biashara haramu wa kununua wapinzani, kupitia vitendo vyao hivyo wakaumiza watanzania walio wengi kwa matukio ya kigaidi?
Akina Alphonce Mawazo wako wapi leo?
Aaakh....... wacha niishie hapa kwanza!!!!!
Nchi hii ina watu wa hovyo sana kwaio kosa la Bashiru ni kuongea anachokiamini hivi sasa
 
Back
Top Bottom