Wanabodi,wengi watakua wameshtushwa na uteuzi wa Dr. Bashiru ambae ni Katibu Mkuu wa CCM kupewa wadhifa wa Katibu Mkuu Kiongozi,ila sidhani kama jambo hili limefanyika kwa bahati mbaya!!!
Kabla ya yote naomba turejee sakata la raisi Magufuli kutajwa tajwa kuwa yupo mbioni kubadili katiba(haswa baada ya wabunge wake kama Juma Nkamia,Mzee Kesi,Deo Sanga na hata Spika Job Ndugai kushupalia kuongezwa muda ndani ya bunge!!
Baada ya maneno hayo,ni Dr Bashiru ndio alikua mtu wa kwanza kutoka hadharani kukanusha na kusema raisi Magufuli hatoongeza muda na ataondoka mara moja muda ukiwadia!!
Kwa kauli za Bashiru walau watu walizibeba maana alikua anasimama kama mtendaji Mkuu wa CCM!!
Kikichotokea ni kumuondoa kwenye utendaji Mkuu wa chama,hii ni dhahiri imezima kauli zake za kupinga Magufuli kuongezewa/kujiongeza muda na hii itapelekea Katibu Mkuu mpya wa chama kupatikana ambae atakua mgeni na hatokua na msimamo wa kupinga zike kauli za "atake asitake tutamuongezea"
Kufupisha maandishi ni kua,teuzi ya Katibu Mkuu ni maandalizi rasmi ya kukaa madarakani muda mrefu,kwa kumtoa aliekua akipinga wazi wazi na kumweka karibu na Ikulu ili ale matunda ya Ikuku na ajione na yeye bi sehemu ya Ikulu ili wadumu wote muda mrefu Ikulu na pengine akijaribu kumhadaa kua atamuachia nchi kwa kale kautaratibu ketu- mkristo-muislamu!!!
Naomba pia tufanye rejeo kwa clip hii hapa chini!!
Kabla ya yote naomba turejee sakata la raisi Magufuli kutajwa tajwa kuwa yupo mbioni kubadili katiba(haswa baada ya wabunge wake kama Juma Nkamia,Mzee Kesi,Deo Sanga na hata Spika Job Ndugai kushupalia kuongezwa muda ndani ya bunge!!
Baada ya maneno hayo,ni Dr Bashiru ndio alikua mtu wa kwanza kutoka hadharani kukanusha na kusema raisi Magufuli hatoongeza muda na ataondoka mara moja muda ukiwadia!!
Kwa kauli za Bashiru walau watu walizibeba maana alikua anasimama kama mtendaji Mkuu wa CCM!!
Kikichotokea ni kumuondoa kwenye utendaji Mkuu wa chama,hii ni dhahiri imezima kauli zake za kupinga Magufuli kuongezewa/kujiongeza muda na hii itapelekea Katibu Mkuu mpya wa chama kupatikana ambae atakua mgeni na hatokua na msimamo wa kupinga zike kauli za "atake asitake tutamuongezea"
Kufupisha maandishi ni kua,teuzi ya Katibu Mkuu ni maandalizi rasmi ya kukaa madarakani muda mrefu,kwa kumtoa aliekua akipinga wazi wazi na kumweka karibu na Ikulu ili ale matunda ya Ikuku na ajione na yeye bi sehemu ya Ikulu ili wadumu wote muda mrefu Ikulu na pengine akijaribu kumhadaa kua atamuachia nchi kwa kale kautaratibu ketu- mkristo-muislamu!!!
Naomba pia tufanye rejeo kwa clip hii hapa chini!!