Tetesi: Dkt. Bashiru kupewa Ukatibu Mkuu Kiongozi,mkakati wa kumnyamazisha dhidi ya kuongeza muda wa Urais?

Tetesi: Dkt. Bashiru kupewa Ukatibu Mkuu Kiongozi,mkakati wa kumnyamazisha dhidi ya kuongeza muda wa Urais?

Hivi kuna mtu nchi hii anaweza mzuia JPM kufanya lake ????jibu ni hakuna yeyote na waliokuwepo wapo mbele za haki
Tutakata rufaa kwa aliye juu mbinguni na ajibuye kwa moto dhidi ya matendo yote ya kubakwa KATIBA YETU.
 
Kawaida kwa wanasiasa
 
Wateuliwa wote wanachokisema majukwaani usidhani ni bahati mbaya bali ni maelekezo, hata ukiona kila anayesima lazma amtaje jpm hata pasipo na sababu ya kumtaja jua ni maelekezo, kwahiyo Bashiru kusema vile yalikuwa ni maelekezo na angekuwa kajituma sidhani kama angevumiliwa mpaka leo, sema aliyeleta ukakasi juu ya jambo hilo ni Polepole aliposema Rais hana mpango wa kuongeza muda ila hawazui wananchi kujadiri jambo hilo.
Ni kweli kabisa kwa uzi wa Polepole tulielewa ipo hila ndani yake agenda ya siri, mikakati ovu ishidwe kabisa itaharibu utaratibu wa nchi.
 
Anaweza kuongeza muda na watu mkapiga kelele humu mitandaoni na mwishoni mkapotezea na kujadili vitu vyengine kama kawaida yenu.
 
Bashiru huyu huyu aliyesema hatakubali nafasi nyingine ya kuteuliwa, unamuamini?? 😂 utakuwa mchanga kwenye siasa za chama dola.

Everyday is Saturday................................😎
 
Yawezekana maana bashiru na polepole wanatolewa chamani polepole waingizwe wataochagiza sera mpya ya "jemedari tumwongezee mitano, mpaka 2030". Hapo 2024 watumishi wapigwe tunyongeza twa mshahara wooote watasadiki jemedari apewe tuu mitano tens maana hata afaaye ajaye hatumuoni
 
Mtu akishakuwa katibu mkuu kiongozi hatoshika nafasi yoyote ya umma .(hii ni katiba).wengine ni Governor wa BOT,jaji mkuu,AG,CAG.
(Hata hivyo Rais ajae anaweza toka nyanda za juu kusini na hatokuwa mweusi kama Magufuli ,haya ni maneno yangu).
 
Yaani ww ni sawa na Aristotle wa Zama hizi nililiona hili
 
Acheni assumptions za kijinga, huyu rais wenu akiamua kukaa madarakani mpaka kifo anaweza tena bila kutumia mbinu uliyotaja. Rais ana mamlaka makubwa sana anaweza fanya lolote hasa kwa jamii ya watz waoga kama nyinyi.
 
Yaani mwenyekiti amuogope katibu wake kiasi hicho?

Basi hatafaa kuwa mwenyekiti
 
Back
Top Bottom