Dkt. Bashiru: Tundu Lissu anaumwa 'Ugonjwa wa Deko'

Dkt. Bashiru: Tundu Lissu anaumwa 'Ugonjwa wa Deko'

Katibu mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally akiwa ziarani Morogoro ametaja ugonjwa unaomsumbua Tundu Lisu kuwa ni deko .
Dalili za ugonjwa wa deko ni zarau ,majivuno ,kuota kuwa rais wa Tanzania ,kulialia, ushoga na kujikomba kwa wazungu.

Sababu ya ugonjwa wa deko ni malezi mabaya ya utotoni na inaonekana Lisu amelelewa kimayaimayai sana, ndiyo maana anadeka mpaka jitu zima la uzeeni.

Katibu Mkuu CCM: Tundu Lissu Anaumwa Ugonjwa wa Deko na Kiburi | MPEKUZI

Sent using Jamii Forums mobile app


Ha ha haaaa, nimecheka sana, kweli deko ni ugonjwa mbaya sana..!! Ila ukicheki kama kuna ukweli mkubwa, ingawa hii watu wengi wataona kama hoja sio ya kisomi..!!
 
Katibu mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally akiwa ziarani Morogoro ametaja ugonjwa unaomsumbua Tundu Lisu kuwa ni deko .
Dalili za ugonjwa wa deko ni zarau ,majivuno ,kuota kuwa rais wa Tanzania ,kulialia, ushoga na kujikomba kwa wazungu.

Sababu ya ugonjwa wa deko ni malezi mabaya ya utotoni na inaonekana Lisu amelelewa kimayaimayai sana, ndiyo maana anadeka mpaka jitu zima la uzeeni.

Katibu Mkuu CCM: Tundu Lissu Anaumwa Ugonjwa wa Deko na Kiburi | MPEKUZI

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti Katibu Mkuu wa chama tawala CCM anajibishana na Mjumbe wa Kamati Kuu wa chama cha upinzani CHADEMA, Tundu Lissu? This is beyond stupidity.
 
Kuna mtu humu jf alisema huyo Dr. alienda kujitambulisha ofisini kwao akasema"Mimi naitwa Dr. Bushir mwenzangu unaitwa Dr.Nani?hahah
 
Katibu mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally akiwa ziarani Morogoro ametaja ugonjwa unaomsumbua Tundu Lisu kuwa ni deko .
Dalili za ugonjwa wa deko ni zarau ,majivuno ,kuota kuwa rais wa Tanzania ,kulialia, ushoga na kujikomba kwa wazungu.

Sababu ya ugonjwa wa deko ni malezi mabaya ya utotoni na inaonekana Lisu amelelewa kimayaimayai sana, ndiyo maana anadeka mpaka jitu zima la uzeeni.

Katibu Mkuu CCM: Tundu Lissu Anaumwa Ugonjwa wa Deko na Kiburi | MPEKUZI

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama nawaona viongozi wa ccm karibu wote gonjwa deko linavyowatafuna


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Katibu mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally akiwa ziarani Morogoro ametaja ugonjwa unaomsumbua Tundu Lisu kuwa ni deko .
Dalili za ugonjwa wa deko ni zarau ,majivuno ,kuota kuwa rais wa Tanzania ,kulialia, ushoga na kujikomba kwa wazungu.

Sababu ya ugonjwa wa deko ni malezi mabaya ya utotoni na inaonekana Lisu amelelewa kimayaimayai sana, ndiyo maana anadeka mpaka jitu zima la uzeeni.

Katibu Mkuu CCM: Tundu Lissu Anaumwa Ugonjwa wa Deko na Kiburi | MPEKUZI

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Katibu mkuu wa CCM ni mbumbumbu na huenda akawa ndiyo Katibu mkuu kilaza kuliko wote tokea Nchi ipate uhuru mwaka 1961 yaani wamemtuma Maliyamungu Bashite akampige Risasi kule Dodoma alafu anataka akae kimya? Malezi ya Tundu Lisu yatakuwa mazuri kuliko ya Katibu mkuu ambaye ana malezi mabaya ya kinyama kuwabambikia kesi Wapinzani kuwafanyia unyanyasaji wa kila aina, malezi mabaya anayo huyo Katibu mkuu kilaza
 
huyu dr. bashiru na dr. mollel wana mtindio wa ubongo hata sura zaonesha hivyo

mtu mzima kuongea mambo ya kitoto ni kukaribisha kudharauliwa na kupuuzwa

kama humfahamu dr. bashiru ukisoma hayo maneno unaeza hisi ni msanii kama mhogo mchungu ama bambo ukija ambiwa ni katibu wa chama kikubwa unashikwa na mshangao
kuna siku moja nilikuta Mwehu mmoja mitaa ya kihesa (Iringa) anawaita na kuwashangaa watu timamu kabisa kuwa ni wehu.
 
Kwakuwa PhD dr wa siasa amekuwa MD na ameshafanya diagnosis

Dr feki achunguzwe vyeti vyake nadhani huyo Katibu mkuu wa CCM kichwani ni darasa la tatu pengine hata musukuma na Livingston kibajaji wangeweza kuwa makati wakuu Wazuri zaidi kuliko yeye
 
huyu dr. bashiru na dr. mollel wana mtindio wa ubongo hata sura zaonesha hivyo

mtu mzima kuongea mambo ya kitoto ni kukaribisha kudharauliwa na kupuuzwa

kama humfahamu dr. bashiru ukisoma hayo maneno unaeza hisi ni msanii kama mhogo mchungu ama bambo ukija ambiwa ni katibu wa chama kikubwa unashikwa na mshangao

CCM imeoza sasa imeingiliwa na mazuzu majuha mbumbumbu wa kutosha ni aibu kwa chama tawala kuwa na watu wajinga kwa kiasi hicho, Katibu mkuu kaamua pasipo aibu kujitoa fahamu zote anaongea hovyo hovyo kipunguani zaidi kwa kweli CCM inaendelea kuaibika nchini na Duniani, wanafanya vitendo vya kinyama makusudi kuwapiga Risasi Wapinzani kisha hao hao wanataka Wapinzani wakae kiimya kwa visingizio vya kishamba toka kolomije na chato na sasa Rwanda maana Katibu mkuu ni Raia wa Rwanda siyo Mtanzania huyo,
 
Katibu mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally akiwa ziarani Morogoro ametaja ugonjwa unaomsumbua Tundu Lisu kuwa ni deko .
Dalili za ugonjwa wa deko ni zarau ,majivuno ,kuota kuwa rais wa Tanzania ,kulialia, ushoga na kujikomba kwa wazungu.

Sababu ya ugonjwa wa deko ni malezi mabaya ya utotoni na inaonekana Lisu amelelewa kimayaimayai sana, ndiyo maana anadeka mpaka jitu zima la uzeeni.

Katibu Mkuu CCM: Tundu Lissu Anaumwa Ugonjwa wa Deko na Kiburi | MPEKUZI

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kati ya huyu Dr Bashiru sijui Bashiri ni nani mgonjwa? Hivi ukiwa unaoga mtoni akija kichaa akabeba Nguo zako na kukimbia nazo nawe ukamfukuza kati yenu nani mgonjwa?
Huyu Dr ana matatizo amejuaje Lissu ni mgonjwa kama hawaja kutana wodini?
Jibuni hoja Ccm acheni kujaza watu ujinga.. Anayo ongea Lissu yana hitaji majibu na sio vioja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama nawaona viongozi wa ccm karibu wote gonjwa deko linavyowatafuna


Sent from my iPhone using JamiiForums

CCM yote inaweweseka mara ushoga mara ubeberu mara usariti wana visingizio vya kijinga jinga visivyo na mashiko kwani ushoga ndiyo umetafuna trilion 1.5? Mabeberu ndiyo wamekula 10% ununuzi wa ndege ujenzi wa flyover, ujenzi wa reli, Chato Airport na michongo yote inayochongwa na viongozi wa CCM?
 
Hivi kati ya huyu Dr Bashiru sijui Bashiri ni nani mgonjwa? Hivi ukiwa unaoga mtoni akija kichaa akabeba Nguo zako na kukimbia nazo nawe ukamfukuza kati yenu nani mgonjwa?
Huyu Dr ana matatizo amejuaje Lissu ni mgonjwa kama hawaja kutana wodini?
Jibuni hoja Ccm acheni kujaza watu ujinga.. Anayo ongea Lissu yana hitaji majibu na sio vioja

Sent using Jamii Forums mobile app

Dr feki Raia wa Rwanda tokea lini akajua malezi Tanzania?
 
Huyo Katibu mkuu wa CCM ni mbumbumbu na huenda akawa ndiyo Katibu mkuu kilaza kuliko wote tokea Nchi ipate uhuru mwaka 1961 yaani wamemtuma Maliyamungu Bashite akampige Risasi kule Dodoma alafu anataka akae kimya? Malezi ya Tundu Lisu yatakuwa mazuri kuliko ya Katibu mkuu ambaye ana malezi mabaya ya kinyama kuwabambikia kesi Wapinzani kuwafanyia unyanyasaji wa kila aina, malezi mabaya anayo huyo Katibu mkuu kilaza
Ati huyo ndiye mtaalamu wa mwenyekiti ?!. Unadhani anamshauri jema gani ?!

Mtu upigwe risasi zote hizo usilalamike ?! Ukisema wanadai deko ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama watu wanaoitwa wasomi ktk Nchi yetu wana majibu ya namna hii, basi naanza kuelewa ni kwanini hata wakulima wa Nchi yetu hawaendelezwi wala kusaidiwa chochote kuinua Kilimo na maisha yao kila kukicha kuhubiriwa Siasa za maji taka hazitusaidii kutatua matatizo yetu Watanzania. Kila kukicha mipasho isiyotumia akili for what?
 
Back
Top Bottom