Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu: wakati ninyi mnashangilia Ndugai kujiuzuru yeye anashangilia all the way kwenda kujichulia mshahara bank na marupurupu kibao kwa maisha yake yoteKakingiwa kifua na Bashiru? Vipi shule yake ya uongozi ndiyo basi tena?
Kulikoni Ndugai? Au hadi naye apewe ubalozi?
Walijisahau sana!huyu dr. bashiru na dr. mollel wana mtindio wa ubongo hata sura zaonesha hivyo
mtu mzima kuongea mambo ya kitoto ni kukaribisha kudharauliwa na kupuuzwa
kama humfahamu dr. bashiru ukisoma hayo maneno unaeza hisi ni msanii kama mhogo mchungu ama bambo ukija ambiwa ni katibu wa chama kikubwa unashikwa na mshangao
Wewe unajichukulia nini ?Lisu: wakati ninyi mnashangilia Ndugai kujiuzuru yeye anashangilia all the way kwenda kujichulia mshahara bank na marupurupu kibao kwa maisha yake yote
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Bora Bashiru mra 100Bashiru anadeka kwa wakulima[emoji16]
Yani zile allegations zote mtu mzima anakuja kuzijibu kwa kusema "Tundu lisu" anaumwa Deko.
Hii nchi inahitaji maombi ya mnyororo haki ya mungu kuna sehemu tumemkosea mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayana vyama[emoji16]Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema mbunge wa Singida mashariki mh Tundu Lisu anaumwa ugonjwa wa Deka unaotokana na kudekadeka.
Source gazeti la Mtanzania
Maendeleo hayana vyama!
Akili zimemrudia wakati ambapo hana akili kabisa.Amegeuka bubu..Bashiru alijisahau sana.
..sasa akili zimemrudia.