Dkt. Bashiru: Tundu Lissu anaumwa 'Ugonjwa wa Deko'

Dkt. Bashiru: Tundu Lissu anaumwa 'Ugonjwa wa Deko'

alikukuwa sahihi sana....jamaa yetu huu ugonjwa anaumwa hadi leo... "eti anataka Mama amuhakikishie ulinzi"

Mama anapaswa kupiga kimya kabisa kama hajawahi kumsikia wala kumuona mpaka mwisho wa Urais wake.....tuone kama hatorudi.
 
Toka Magufuli afe, Bashiru amejitokeza lini hadharani kuongea mambo ya maana tukamsikia?
Ina maana baada ya Magufuli kufa, Bashiru naye kafa kisiasa?
 
Kakingiwa kifua na Bashiru? Vipi shule yake ya uongozi ndiyo basi tena?

Kulikoni Ndugai? Au hadi naye apewe ubalozi?
Lisu: wakati ninyi mnashangilia Ndugai kujiuzuru yeye anashangilia all the way kwenda kujichulia mshahara bank na marupurupu kibao kwa maisha yake yote

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
🐒🐒🐒
0AMXl9G.jpg
 
huyu dr. bashiru na dr. mollel wana mtindio wa ubongo hata sura zaonesha hivyo

mtu mzima kuongea mambo ya kitoto ni kukaribisha kudharauliwa na kupuuzwa

kama humfahamu dr. bashiru ukisoma hayo maneno unaeza hisi ni msanii kama mhogo mchungu ama bambo ukija ambiwa ni katibu wa chama kikubwa unashikwa na mshangao
Walijisahau sana!
Sasa hivi hawamaanini wanachokishuhudia.
 
Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema mbunge wa Singida mashariki mh Tundu Lisu anaumwa ugonjwa wa Deka unaotokana na kudekadeka.

Source gazeti la Mtanzania

Maendeleo hayana vyama!
Hayana vyama[emoji16]
 
Make hapo kwanza ncheke.[emoji28][emoji28]

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom