Dkt. Bashiru: Unaposhukuru na kusifia unapopewa haki yako unakuwa hauna "maana"

Dkt. Bashiru: Unaposhukuru na kusifia unapopewa haki yako unakuwa hauna "maana"

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hii kauli ya Dr Bashiru kwa MVIWATA nataka niiangalie kikatiba na kiBiblia zaidi

Sitajali hata kama yeye alikuwa akishukuriwa na Kusifiwa wakati anatimiza Majukumu yake ambayo kwayo alilipwa mshahara

"Ukishukuru na Kusifu unapopewa Haki yako unakuwa hauna maana"

Wabunge husemaga: Mh Spika nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia

Sasa utajiuliza Mbunge kuchangia Hoja ni Haki ya Msingi au Hisani ya Spika?

Itaendelea...
 
Ngoja nifuatilie kama Bashiru hushukuru anapochangia.

Lakini mimi ni sapota wa Bashiru kuwa hakuna kumsifia Hangaya huku tuko gizani, maji hakuna na rushwa kubwa kubwa zikirindima, eti ni kula kwa urefu wa kamba.
 
Kusema mh spika nashukuru kwa kunipa nafasi ni heshima ya kiti Tu, haina maana hata kama hatosema hivyo, ni Sawa na mtu akikikuuliza nikuongezee maji? Ukamjimbu No thank you, ungeweza kusema No Tu ikatosha

But Rais kulete maji kwenye mkoa ni moja ya majukumu yake ndio maana akawa kiongozi wetu na analipwa Kwa kuwa kiongozi wetu na ana ulinzi wa kutosha Kwa kazi hiyo sasa why tumshukuru?
 
Kusema mh spika nashukuru kwa kunipa nafasi ni heshima ya kiti Tu, haina maana hata kama hatosema hivyo, ni Sawa na mtu akikikuuliza nikuongezee maji? Ukamjimbu No thank you, ungeweza kusema No Tu ikatosha

But Rais kulete maji kwenye mkoa ni moja ya majukumu yake ndio maana akawa kiongozi wetu na analipwa Kwa kuwa kiongozi wetu na ana ulinzi wa kutosha Kwa kazi hiyo sasa why tumshukuru?
Hata kumshukuru Rais ni heshima ya Kiti (Mamlaka) vile vile
 
Hii kauli ya Dr Bashiru kwa MVIWATA nataka niiangalie kikatiba na kiBiblia zaidi

Sitajali hata kama yeye alikuwa akishukuriwa na Kusifiwa wakati anatimiza Majukumu yake ambayo kwayo alilipwa mshahara

"Ukishukuru na Kusifu unapopewa Haki yako unakuwa hauna maana"

Wabunge husemaga: Mh Spika nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia

Sasa utajiuliza Mbunge kuchangia Hoja ni Haki ya Msingi au Hisani ya Spika?

Itaendelea...

Hii kauli ya Dr Bashiru kwa MVIWATA nataka niiangalie kikatiba na kiBiblia zaidi

Sitajali hata kama yeye alikuwa akishukuriwa na Kusifiwa wakati anatimiza Majukumu yake ambayo kwayo alilipwa mshahara

"Ukishukuru na Kusifu unapopewa Haki yako unakuwa hauna maana"

Wabunge husemaga: Mh Spika nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia

Sasa utajiuliza Mbunge kuchangia Hoja ni Haki ya Msingi au Hisani ya Spika?

Itaendelea...
Ungeweka awamu ya tano kama reference ingependeza maan huko ndipo kulishamiri sana mamb ya praise and worship plus kushukur hata kwa kunusurika kwa ajali tu shukran kwanza kwa Rais 🚮🚮🚮🚮
 

Attachments

  • Screenshot_20211029-110122.png
    Screenshot_20211029-110122.png
    234.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom