johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hii kauli ya Dr Bashiru kwa MVIWATA nataka niiangalie kikatiba na kiBiblia zaidi
Sitajali hata kama yeye alikuwa akishukuriwa na Kusifiwa wakati anatimiza Majukumu yake ambayo kwayo alilipwa mshahara
"Ukishukuru na Kusifu unapopewa Haki yako unakuwa hauna maana"
Wabunge husemaga: Mh Spika nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia
Sasa utajiuliza Mbunge kuchangia Hoja ni Haki ya Msingi au Hisani ya Spika?
Itaendelea...
Sitajali hata kama yeye alikuwa akishukuriwa na Kusifiwa wakati anatimiza Majukumu yake ambayo kwayo alilipwa mshahara
"Ukishukuru na Kusifu unapopewa Haki yako unakuwa hauna maana"
Wabunge husemaga: Mh Spika nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia
Sasa utajiuliza Mbunge kuchangia Hoja ni Haki ya Msingi au Hisani ya Spika?
Itaendelea...