Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM imejaa majitu majinga sn hayajui tofauti ya haki na hisani kazi kubwa ni kusifia na kushukuruHii kauli ya Dr Bashiru kwa MVIWATA nataka niiangalie kikatiba na kiBiblia zaidi
Sitajali hata kama yeye alikuwa akishukuriwa na Kusifiwa wakati anatimiza Majukumu yake ambayo kwayo alilipwa mshahara
"Ukishukuru na Kusifu unapopewa Haki yako unakuwa hauna maana"
Wabunge husemaga: Mh Spika nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia
Sasa utajiuliza Mbunge kuchangia Hoja ni Haki ya Msingi au Hisani ya Spika?
Itaendelea...