Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM imejaa majitu majinga sn hayajui tofauti ya haki na hisani kazi kubwa ni kusifia na kushukuruHii kauli ya Dr Bashiru kwa MVIWATA nataka niiangalie kikatiba na kiBiblia zaidi
Sitajali hata kama yeye alikuwa akishukuriwa na Kusifiwa wakati anatimiza Majukumu yake ambayo kwayo alilipwa mshahara
"Ukishukuru na Kusifu unapopewa Haki yako unakuwa hauna maana"
Wabunge husemaga: Mh Spika nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia
Sasa utajiuliza Mbunge kuchangia Hoja ni Haki ya Msingi au Hisani ya Spika?
Itaendelea...
Ni ujinga tupuShida ni nidham ya woga na unafiki mwingi
Eti bashiru leo anakemea watu kumshukuru rais!Labda ashukuriwe na sukuma gang. Yeye ni Sehemu ya hii tabia chafu ya kumsifia rais hata kwa mambo ambayo hapaswi kushukuriwa.
Yaani ufanyiwe baya halafu ushukuru!? Utakuwa punguani namba moja ulimwenguni.Amechemsha, mtu unatakiwa kishukuru kwa yote!
P
Kushukuru ni kwa yote, ukifanyiwa mema, shukuru, na ukifanyiwa ubaya shukuru.Yaani ufanyiwe baya halafu ushukuru!? Utakuwa punguani namba moja ulimwenguni.
Awamu iliyopita alikuwa anapenda kusifiwa kwa alichokifanya na kikiwa hadharani ila hii kama ni baya lisilokuhusu binafsi lazima usifieAwamu iliyopita ndio waanzilishi wa hizi sifa zilizotamalaki nchini! Hatukuwahi kumuona akikemea alipokuwa kwenye chungu cha asali
Tupo Awamu ya Sita bwasheeUngeweka awamu ya tano kama reference ingependeza maan huko ndipo kulishamiri sana mamb ya praise and worship plus kushukur hata kwa kunusurika kwa ajali tu shukran kwanza kwa Rais 🚮🚮🚮🚮
Mshukuruni BWANA kwae kila jamboKushukuru ni kwa yote, ukifanyiwa mema, shukuru, na ukifanyiwa ubaya shukuru.
Kuwa ni mtu wa shukrani.
P
Mbowe Sajili Bashiru kwa sasa ana millage kuliko TL 👍
Naona watanzania mnaanza kuona mwanga; kama ni kushukuru,basi ni walipa Kodi zao kwa uaminifu na kila mtanzania anayetoa huduma au kazi kwa ajili ya Taifa letu,Muda wa kumshukuru ni pale atapostaafu kwa amani na uongozi uliotukuka sio akipokea ndege ambazo zimelipwa kwa kodiKusema mh spika nashukuru kwa kunipa nafasi ni heshima ya kiti Tu, haina maana hata kama hatosema hivyo, ni Sawa na mtu akikikuuliza nikuongezee maji? Ukamjimbu No thank you, ungeweza kusema No Tu ikatosha
But Rais kulete maji kwenye mkoa ni moja ya majukumu yake ndio maana akawa kiongozi wetu na analipwa Kwa kuwa kiongozi wetu na ana ulinzi wa kutosha Kwa kazi hiyo sasa why tumshukuru?
Nimempa ref. Bwashee John mzee wa ulabu 😂😂!Tupo Awamu ya Sita bwashee
Mheshimiwa Spika niende moja kwa moja kwenye hoja yangu ya msingiNgoja nifuatilie kama Bashiru hushukuru anapochangia.
Lakini mimi ni sapota wa Bashiru kuwa hakuna kumsifia Hangaya huku tuko gizani, maji hakuna na rushwa kubwa kubwa zikirindima, eti ni kula kwa urefu wa kamba.
hoja hii ina mashiko sana, Dr Bushiru umepiga penyewe !!Hii kauli ya Dr Bashiru kwa MVIWATA nataka niiangalie kikatiba na kiBiblia zaidi
Sitajali hata kama yeye alikuwa akishukuriwa na Kusifiwa wakati anatimiza Majukumu yake ambayo kwayo alilipwa mshahara
"Ukishukuru na Kusifu unapopewa Haki yako unakuwa hauna maana"
Wabunge husemaga: Mh Spika nakushukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia
Sasa utajiuliza Mbunge kuchangia Hoja ni Haki ya Msingi au Hisani ya Spika?
Itaendelea...
GoodMheshimiwa Spika niende moja kwa moja kwenye hoja yangu ya msingi
Uzuri au ubaya wa jambo ni subjective! Wewe unayeona watu kufilisiwa au bureau de change kuvamiwa ni sawa vivyo hivyo kuna watu wanaona ni sawa vyeti feki kulipwa mafao yao. Kiufupi kuimba ni kupokezanaAwamu iliyopita alikuwa anapenda kusifiwa kwa alichokifanya na kikiwa hadharani ila hii kama ni baya lisilokuhusu binafsi lazima usifie