johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Dr Bashiru amesema ni marufuku wagombea waliopita bila kupingwa kwenda mikoa mingine kufanya kampeni bali wabakie kwenye mikoa yao.
Dkt. Bashiru amemtaja mbunge mmoja aliyepitishwa bila kupingwa Lindi lakini sasa yuko Mwanza anafanya kampeni na kumtaka kurudi Lindi mara moja akawasaidie wenzie jimboni kwake.
Wakati huo huo Dkt. Bashiru amewataka vijana wa UVCCM kujibu hoja za wapinzani pale pale zinapotolewa bila kuchelewa kwani uongo usipojibiwa unaweza kuaminika.
Maendeleo hayana vyama!