Dkt Bashiru: Waliotaka kutuchonganisha wameshindwa na kulegea

Watanzania wanamwamini akigombea anashinda tu
 
Nani aliyetaka kumuhujumu Mama Samia asirithi kiti baada ya mwendazake kukata umeme? Nyie ndio mliotaka kuwachonganisha wananchi!
 
Bashiru ana maadui wengi sana ndani ya chama , hasa kukata mizizi ya wizi ndani ya mikoa na ngazi ya wilaya. Lakini ameonyesha bado ni shupavu na ujengaji wake wa hoja za mantiki ni hazina kubwa aliyonayo. Hata kama kuna mapungufu yalitokea baada ya JPM, bado ninaamini mama atamlinda na amor ubalozi nchi yoyote baada ya miaka hii minne ya ubunge. Kama yeye ni mlangila nina imani hawezi gombea ubunge wa jimbo. Ref, watoto wa Nyerere hamna anayepata ubunge Musoma sababu wazanaki ni minority Musoma , Na kule Bukoba hali kadhalika Mlangila hawezi kupata ubunge licha ya kwamba ni watawala kabla ya uhuru. Kwa intelect yake na uzalendo wake Bashiru atakuwa Balozi huko mbeleni na hasa kwenye utawala wa mama Samia hawezi kumtupa kijana kipenzi wa JPM jamii ya wastaarabu haruwezi kumwelewa na usemi wakazi iendelee ni pamoja na kuenzi mema ya marehemu. Bashiru ndiye kafanya chama kijitegemee kifedha baada ya kuhamishia mapato yote makao makuu. HONGERA Bashiru taifa limefiwa ,lakini mwenzetu meguswa zaidi na kifo cha marehemu , muzilankende mwenzake na JPM kam alivyokutambulisha katika moja ya ziarani mkiwa Bukoba.
 
Nani aliyetaka kumuhujumu Mama Samia asirithi kiti baada ya mwendazake kukata umeme? Nyie ndio mliotaka kuwachonganisha wananchi!
Source ya hii habari ulipewa na nani?
 
Bashiru akiomba ridhaa ya kuwa rais wa Tanzania anashinda mapema sana
 
Kweli kabisa wameshindwa yaani umetoka kuwa karibu mkuu kiongozi Hadi mbunge WA viti maalum
 
Kweli kabisa wameshindwa yaani umetoka kuwa karibu mkuu kiongozi Hadi mbunge WA viti maalum
Hata chadema wametoka kuwa na wabunge 100 hadi mmoja tu
 
Source ya hii habari ulipewa na nani?

Kwanini mlimpangia ziara ya Tanga ili hali kiafya hali ya mwendezake ilikuwa TETE? Huoni kuwa busara ilitakiwa asingekuwa mbali na Mkuu wake?
 
Kwanini mlimpangia ziara ya Tanga ili hali kiafya hali ya mwendezake ilikuwa TETE? Huoni kuwa busara ilitakiwa asingekuwa mbali na Mkuu wake?
Bila shaka wewe ni mmoja ya walioshindwa na kulegea
 
Yeye ndio amepitia kipindi kigumu baada ya Meko kufwa na sio nchi imepitia kipindi kigumu.

Exactly! Apite hivi…..ndio maana baadhi ya wabunge wa kuteuliwa au viti maalum naonaga hawana TIJA ni hasara tu!
 
Bila shaka wewe ni mmoja ya walioshindwa na kulegea

We ngoja hiyo report ya BOT itoke ndio utajua nani atalegea!!! Unafikiri umesamehewa hata kama umerudisha hizo hela mlizoiba!!!
 
We ngoja hiyo report ya BOT itoke ndio utajua nani atalegea!!! Unafikiri umesamehewa hata kama umerudisha hizo hela mlizoiba!!!
Itapuuzwa kama ilivyopuuzwa report ya corona
 
Bunge lao, wampe hata siku nzima aongee, maana waliomo mle ndani wote wanamshukuru kwa kuwapa ulaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…