Dkt Bashiru: Waliotaka kutuchonganisha wameshindwa na kulegea

Dkt Bashiru: Waliotaka kutuchonganisha wameshindwa na kulegea

CDM ni wimbo fulani hivi kama wa taifa hivi. Kuna watu wasipokitaja siku haiendi. CDM si imekufa jama? Mbona kuna watu wanaweweseka nayo hivi. CDM imekufa kama mwendazake. Endeleeni na maisha bila CDM kama maisha yanavoendelea bila mwendazake
Hata shetani huwa anatajwa kila siku
 
Nani aliyetaka kumuhujumu Mama Samia asirithi kiti baada ya mwendazake kukata umeme? Nyie ndio mliotaka kuwachonganisha wananchi!
Taarifa yako ni kwa mujibu wa kigogo?

Umeliwa!
 
Itapuuzwa kama ilivyopuuzwa report ya corona

Wewe unaishi nchi gani? Hujasikia Rais Mwinyi anasema mahujaji Zanzibar watapatiwa chanjo? Sasa kama Zanzibar itatoa chanjo kwanini bara wasitoe chanjo? Upo hapo? Huoni viongozi wanavaa barakoa siku hizi?
 
Bashiru ana maadui wengi sana ndani ya chama , hasa kukata mizizi ya wizi ndani ya mikoa na ngazi ya wilaya. Lakini ameonyesha bado ni shupavu na ujengaji wake wa hoja za mantiki ni hazina kubwa aliyonayo. Hata kama kuna mapungufu yalitokea baada ya JPM, bado ninaamini mama atamlinda na amor ubalozi nchi yoyote baada ya miaka hii minne ya ubunge. Kama yeye ni mlangila nina imani hawezi gombea ubunge wa jimbo. Ref, watoto wa Nyerere hamna anayepata ubunge Musoma sababu wazanaki ni minority Musoma , Na kule Bukoba hali kadhalika Mlangila hawezi kupata ubunge licha ya kwamba ni watawala kabla ya uhuru. Kwa intelect yake na uzalendo wake Bashiru atakuwa Balozi huko mbeleni na hasa kwenye utawala wa mama Samia hawezi kumtupa kijana kipenzi wa JPM jamii ya wastaarabu haruwezi kumwelewa na usemi wakazi iendelee ni pamoja na kuenzi mema ya marehemu. Bashiru ndiye kafanya chama kijitegemee kifedha baada ya kuhamishia mapato yote makao makuu. HONGERA Bashiru taifa limefiwa ,lakini mwenzetu meguswa zaidi na kifo cha marehemu , muzilankende mwenzake na JPM kam alivyokutambulisha katika moja ya ziarani mkiwa Bukoba.
Bashiru siyo mlangila wala hatoki kwenye Koo za walangila
 
Wewe unaishi nchi gani? Hujasikia Rais Mwinyi anasema mahujaji Zanzibar watapatiwa chanjo? Sasa kama Zanzibar itatoa chanjo kwanini bara wasitoe chanjo? Upo hapo? Huoni viongozi wanavaa barakoa siku hizi?
Na lockdown vipi
 
Apambane na hali yake,hiyo nafasi amepewa atulize matako aache kudemka.
 
Kiukweli siasa za awamu ilopita hazijawahi tokea tokea nchi hii izaliwe. Professors na daktarizi wamedharirika(sijui dhalilika) sana akiwepo Mwl wangu Bashiru!
 
Yeye ndio amepitia kipindi kigumu baada ya Meko kufwa na sio nchi imepitia kipindi kigumu.
Na mimi nimeshngaa kidogo. Nchi ilipitia kipindi kigumu kwa vipi? Watu kama kina Makonda na yule mpwa wa mwendazake ndiyo wanapitia kipindi kigumu.
 
Back
Top Bottom