Kwa sasa hicho ndiyo kigezo cha kupandishwa cheoNa ndivyo inavyotakiwa, mtu akikusifu fukuza kazi haraka sana.
‘zidumu fikra za mwenyekiti’ zilikuja baada ya mwalimu kung’atuka?Kwamba aliyebuni "zidumu fikra za mwenyekiti wa chama" alishushwa cheo! Au hii si fikra bali ombi?
====
Kwa kweli siwezi kusifia kwa unafiki maana ninahisi nitastukiwa.
Uzuri alikuwa na fikra sahihikweli kwa asilia nyingi, kwahiyo ilikuwa sahihi wala hayakuwa mapambio bali ni zama za " spear of the Nation"Kwamba aliyebuni "zidumu fikra za mwenyekiti wa chama" alishushwa cheo! Au hii si fikra bali ombi?
====
Kwa kweli siwezi kusifia kwa unafiki maana ninahisi nitastukiwa.
Na ndivyo inavyotakiwa, mtu akikusifu fukuza kazi haraka sana.
Aliye buni hilo neno zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama.Kwamba aliyebuni "zidumu fikra za mwenyekiti wa chama" alishushwa cheo! Au hii si fikra bali ombi?
====
Kwa kweli siwezi kusifia kwa unafiki maana ninahisi nitastukiwa.
Siyo Mkatoliki, ni MlutheriIngawa sitaki kuingilia mambo ya dini au uumini wa mtu yeyote ila nasema wenzetu wakatoliki wapo viongozi wanasimamia weledi.
Sawa bosiSiyo Mkatoliki, ni Mlutheri
Alikuwa akihojiwa na Maulid Kitenge kuhusu kusifia kila kitu yeye akasema, hajui kutaga yai lakini yai bovu analijua, ‘mimi kama kiongozi wa dini wajibu wangu ni kuangalia wapi panahitaji kunyooshwa sio wapi panahitaji kusifia, wakati wa Mwalimu ukimsifia anaku- demote siku hizi ukisifia sifia unapandishwa’.