SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Mkurugenzi Mtendaji Mstaafu wa CRDB Dkt Charles Stephen Kimei ambaye alijitosa kutafuta tiketi ya kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Vunjo kupitia CCM na kupata kura 178 huku mshindi Ndugu Enock Zadock Koola akipata kura 187 amesema anawashukuru wanachama wenzake kwa kumuamini katika hatua hii ya awali.
Na amewaomba kuendeleza umoja na mshikamano ili pale vikao vya uteuzi vitakapokamilisha kazi yake na kutupa mgombea mmoja kwa pamoja tukahakikishe anashinda na CCM inapata ushindi wa heshima kwa ngazi zote.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Na amewaomba kuendeleza umoja na mshikamano ili pale vikao vya uteuzi vitakapokamilisha kazi yake na kutupa mgombea mmoja kwa pamoja tukahakikishe anashinda na CCM inapata ushindi wa heshima kwa ngazi zote.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi