Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Inavyoelekea ata angeshinda wangemkata juu kwa juu, kwenye interview yake Dr Bashiru ilikuwa keshaanza kumrushia dongo alianza na kujitolea mfano yeye kuna watu tukishapewa nafasi fulani kugombea zingine inakuwa aiwezekani tena baada ya kumaliza muda wetu.
Wakati anataka kuendelea sasa unakuta mtu keshakuwa mkurugenzi lakini....akawa disrupted na swali lingine, inaonekana wangemlimia mbele ata angeshinda kura za maoni.
Ingelikuwa kweli anataka siasa angeachia nafasi yake CRDB kabla ya umri wa kustaafu akagombea ubunge; unasubiri pepo ipotee ndio ujifanye unajali it doesn’t work that way regardless how qualified he is.
Wakati anataka kuendelea sasa unakuta mtu keshakuwa mkurugenzi lakini....akawa disrupted na swali lingine, inaonekana wangemlimia mbele ata angeshinda kura za maoni.
Ingelikuwa kweli anataka siasa angeachia nafasi yake CRDB kabla ya umri wa kustaafu akagombea ubunge; unasubiri pepo ipotee ndio ujifanye unajali it doesn’t work that way regardless how qualified he is.