Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Chenge anatoka familia ya Kichifu!Tena kapeta kama kumsukuma mlevi. Ameshinda kama alikuwa nazo hizo kura zoote mkononi
Watu wa kilwa kaskazini wamefanyajeBariadi kama kilwa kaskazini, Kuna ujinga mwingi sana kwa Wamatumbi na wangindo
Wamempa mangungu huko, utopolo mtupu lile jimbo linarudi upinzaniWatu wa kilwa kaskazini wamefanyaje
huyo mangungu ana kasoro gani?Ilitakiwa wampe nani?Wamempa mangungu huko, utopolo mtupu lile jimbo linarudi upinzani
Siasa za bongo kujuana watu hawaangalii uwezo wala CV ya mtu.Yaani kama hujuani na wajumbe basi huchaguliwi.Mkurugenzi Mtendaji Mstaafu wa CRDB Dkt Charles Stephen Kimei ambaye alijitosa kutafuta tiketi ya kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Vunjo kupitia CCM na kupata kura 178 huku mshindi Ndugu Enock Zadock Koola akipata kura 187 amesema anawashukuru wanachama wenzake kwa kumuamini katika hatua hii ya awali.
Na amewaomba kuendeleza umoja na mshikamano ili pale vikao vya uteuzi vitakapokamilisha kazi yake na kutupa mgombea mmoja kwa pamoja tukahakikishe anashinda na CCM inapata ushindi wa heshima kwa ngazi zote.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Mangungu alishawahi kuwa mbunge 2010..2015 wananchi hawakuona cha maana alichofanya 2015..2020 wakapeleka jimbo upinzani kwa makusudi...... Leo hii kwa tamaa ya pesa walonayo wajumbe wa mkutano mkuu wilaya wamenunuliwa wamempitisha yule yule asiyekubalikahuyo mangungu ana kasoro gani?Ilitakiwa wampe nani?
Mangungu alishawahi kuwa mbunge 2010..2015 wananchi hawakuona cha maana alichofanya 2015..2020 wakapeleka jimbo upinzani kwa makusudi...... Leo hii kwa tamaa ya pesa walonayo wajumbe wa mkutano mkuu wilaya wamenunuliwa wamempitisha yule yule asiyekubalika
Ulizia The Late Paul Bomani vs Pascal Mabiti , au Jumanne Malecele vs KibajajiIla wachaga hawaangali pesa wala vyeo. Ingekuwa Bariadi kwetu basi Kimei angeshinda asubuhi. Chenge alitoka Dar akaja akashinda kirahiiiiisi.
Ahamishie turufu yake ACTMkurugenzi Mtendaji Mstaafu wa CRDB Dkt Charles Stephen Kimei ambaye alijitosa kutafuta tiketi ya kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Vunjo kupitia CCM na kupata kura 178 huku mshindi Ndugu Enock Zadock Koola akipata kura 187 amesema anawashukuru wanachama wenzake kwa kumuamini katika hatua hii ya awali.
Na amewaomba kuendeleza umoja na mshikamano ili pale vikao vya uteuzi vitakapokamilisha kazi yake na kutupa mgombea mmoja kwa pamoja tukahakikishe anashinda na CCM inapata ushindi wa heshima kwa ngazi zote.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Wabunge ni wawakilishi wa wananchi. Inatakiwa mbunge awe mmoja wenu, mwenye kuelewa mahitaji yenu, maisha yenu, na mwenye kuwa na interest zenu moyoni. Sio mtu anayeishi kama malaika, utegemee anakumbuka maisha ya kishetani yalivyo hata kama alitokamo humo.Nahisi hapa labda wapindue meza. BTW ameshindwa pia kwa kura chache, kwa hiyo hata wakipundua meza kuna justification wanaweza toa.
Lakini muda mwingine huwa nawashangaa wapiga kura kumtosa mtu kama Kimei (Phd Holder in Economics, Corporate leader) hawa ndo watu wa kupigiwa kura jamani
Hivi Chenge mwaka huu yumo?
Huyu ametafuta kujidhalilisha tuMkurugenzi Mtendaji Mstaafu wa CRDB Dkt Charles Stephen Kimei ambaye alijitosa kutafuta tiketi ya kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Vunjo kupitia CCM na kupata kura 178 huku mshindi Ndugu Enock Zadock Koola akipata kura 187 amesema anawashukuru wanachama wenzake kwa kumuamini katika hatua hii ya awali.
Na amewaomba kuendeleza umoja na mshikamano ili pale vikao vya uteuzi vitakapokamilisha kazi yake na kutupa mgombea mmoja kwa pamoja tukahakikishe anashinda na CCM inapata ushindi wa heshima kwa ngazi zote.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Wewe ni wa Bariadi au Gitega?Ila wachaga hawaangali pesa wala vyeo. Ingekuwa Bariadi kwetu basi Kimei angeshinda asubuhi. Chenge alitoka Dar akaja akashinda kirahiiiiisi.
Itakua sio sawaHapa ndo ujue kwamba ulimwengu wa wapigakura ni tofauti sana na ile dunia tunaoishi tunaojifanya wasomi na wajuzi wa mambo.
Same same kwa kilichompata ndugu Pasco Mayalla, ujuaji mwingi wa hoja ila wakulungwa wamemkata.
Ila nadhani kamati kuu hapa kwa Kimei lazima wapindue meza
Unawez akuanmaarufu nchini lakini anayekupita kwa kura ni maarufu jimboni kwa mchango wake ki utendajiNahisi hapa labda wapindue meza. BTW ameshindwa pia kwa kura chache, kwa hiyo hata wakipundua meza kuna justification wanaweza toa.
Lakini muda mwingine huwa nawashangaa wapiga kura kumtosa mtu kama Kimei (Phd Holder in Economics, Corporate leader) hawa ndo watu wa kupigiwa kura jamani
Kwenu Moshi pesa mbele Mama. Chenge ni maarufu na wanamuamini bila hata ya pesa. Hawafahamu makandokando yake. Kimei yawezekana hakucheza rough ndiyo maana.Ila wachaga hawaangali pesa wala vyeo. Ingekuwa Bariadi kwetu basi Kimei angeshinda asubuhi. Chenge alitoka Dar akaja akashinda kirahiiiiisi.