SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Wapo kahe HappKuna kabila la wamasai Jimbo la vunjo? Au wameletwa na fuso kutoka monduli
Huyo anapigwa misa ya asubuhiGrace Ndesamburo je?!
Simba wa maendeleo Dkt Charles Stephen KimeiVunjo kuna Simba au ni Simba UCHWARA?
Mila na desturi huheshimiwa hata kama umesoma sanaUna PhD, unavalisha matakataka mwili mzima kuitwa simba.siasa unafanya ubongo unageuka na kuwa Kama hujasoma
wacha utani wewe; hayo ni mambo ya kimilaKama kusimikwa kwenyewe nikuwekewa matakataka basi Tanzania bado tuna safari ndefu.
Kwani Kahe,TPC na Mabogini bado zipo Moshi Vijijini na si Manispaa?Wapo kahe Happ
Zipo Moshi vijijiniKwani Kahe,TPC na Mabogini bado zipo Moshi Vijijini na si Manispaa?
Tangu upate ajali ya pikipiki Dodoma umekuwa mjingaJimbo la Vunjo limekombolewa!. Kwaheri Mbatia, Karibu Kimei.
Kwaheri NCCR Mageuzi, karibu CCM Baba Lao.
P
Kuna kabila la wamasai Jimbo la vunjo? Au wameletwa na fuso kutoka monduli