SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Wazee wa kimila jamii ya kimasai (Laiguanani) katika jimbo la Vunjo wilayani Moshi wamemweka mgombea wa ubunge jimbo hilo Dkt. Charles Stephen Kimei na kumsimika kuwa ndiye 'Simba wa Vunjo' kwa kumpa baraka zote za ushindi wa nafasi ya ubunge katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 28, 2020.
Aidha Dkt. Kimei amewaahidi wazee hao kuwa endapo akishinda nafasi hiyo ya ubunge atatumia uzoefu wake wote pamoja na mtandao wake mpana wa maendeleo ya kiuchumi aliokuwa nao wakati akiwa mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB na kuhakikisha wanavunjo na mkoa mzima wa Kilimanjaro wananufaika naye.
#Uchaguzi2020 #AmaniKwanza.
Aidha Dkt. Kimei amewaahidi wazee hao kuwa endapo akishinda nafasi hiyo ya ubunge atatumia uzoefu wake wote pamoja na mtandao wake mpana wa maendeleo ya kiuchumi aliokuwa nao wakati akiwa mkurugenzi mtendaji wa benki ya CRDB na kuhakikisha wanavunjo na mkoa mzima wa Kilimanjaro wananufaika naye.
#Uchaguzi2020 #AmaniKwanza.