beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Mbunge wa Vunjo, Dkt. Charles Kimei amesema Bunge lazima liwajibike katika kusimamia Serikali ili ije na Bajeti ambayo inatekelezeka kwa asilimia 100 huku ahadi zinazotolewa nazo zikitekelezwa.
Ameeleza, "Mimi nilikuwa najua Bajeti ni Sheria, lakini kama tupo hapa miezi mitatu halafu tunaambiwa imetekelezwa kwa asilimia 50. Nani anashikwa na kupelekwa kortini? Nani anawajibika kwa hilo?"
Ameeleza, "Mimi nilikuwa najua Bajeti ni Sheria, lakini kama tupo hapa miezi mitatu halafu tunaambiwa imetekelezwa kwa asilimia 50. Nani anashikwa na kupelekwa kortini? Nani anawajibika kwa hilo?"