Uchaguzi 2020 Dkt. Charles Kimei ndiye habari ya Mjini Vunjo

Bora uwaelimishe kama mnakumbuka enzi zile za Keenja na jiji na Keenja na Ubunge ilikuwa kama mbingu na ardhi
 
Kama hela ya kujenga barabara alitoa mfukoni kwake sawa ila kama ni kodi zetu asahau yeyote ataechaguliwa gurudumu atulie ale mafao
 
Vunjo hii jimboni kwangu??

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app

Ndio hali halisi ya Vunjo ya leo, sio Kimei tuu, uko uwezekano mkubwa majimbo yote Moshi yakaenda CCM. Nipo Marangu Falls Kinukamori tunapata moja moto na nyingine baridi.

Wakazi wa huku wengi waliopo Chadema waongo hawataki kusema ukweli wa hali iliyovyo. Kilimanjaro yote, Upinzani kutoka bila jimbo haitokuwa kitu cha ajabu.

Tena kura za Urais wengi wanamtaka Magufuli na sio Lissu. NA HUU NDIO UKWELI, WAKAZI WA KILIMANJARO SEMENI UKWELI MTUPU KINYUME CHAKE NI UWONGO MTUPU. SEMENI UKWELI KWANI MTAKUFA?. UPINZANI NGUVU IMEPUNGUA SANA.
 
Duuuu sawa nguvy imepungua mngekuwa na wateka n kukataa kupokea fomu zao

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…