Dkt. Dorothy Gwajima ana kitu atafika mbali

Dkt. Dorothy Gwajima ana kitu atafika mbali

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nachompendea huyu Aunt ni uwezo wake wa kufuatilia mambo kwa ukaribu, of course kipindi kile cha Corona kuna mambo alichemka kama binadamu lakini kwa sasa anafanya kazi ambayo inatakiwa kupongezwa.

Dkt. Gwajima D akili alikuwa nayo basi tu alikuwa na Naibu kilaza ambaye ameendelea kuwa kilaza kwenye mambo mengi anayoyafanya mpaka sasa tofauti na Dkt. Gwajima D ambaye yeye amejifua na kujifunza kuwa smart.

Napendelea utendaji wake wa sasa ambao hauna kelele ila tu una kishindo. anafuatilia kila jambo kwa umakini na pasipo kuwa na kelele.

Nimeangalia hata humu ndani kunapokuwa na jambo hasiti kujitokeza na kujumuika Jukwaani bila woga. Mawaziri na Wabunge wengi hupaogokwa JF na wengi walikimbia baada tu ya kupata vyeo au nafasi mbalimbali. Huyu amekuwepoo na anashiriki debates pasipo woga kabisa.

Mimi naona ni mtu anayefaa sana kuendelea kuwa kiongozi kwa kuwa ana tabia ya kufuatilia jambo kwa kina na majibu ambayo anayatoa sasa mara nyingi ni ya kitaalamu na si ya kisiasa.

Tuendelee kumsadia kwa kumshauri na kumkosoa pale inapobidi ili mambo yaweze kwenda sawa kwa upande wake na kuendeleza uchapaji kazi mzuri.

Pia soma PONGEZI: Utenguzi wa Mkurugenzi Mafia Ili kupisha Uchunguzi, Pongezi ziende kwa Dkt. Dorothy Gwajima. Kiukweli kwenye hili amejituma sana
 
Gwajima sio mwanasiasa waliopendekeza apewe uwaziri wa afya walishaona anakitu cha kulisaidia taifa akiwa kwenye maamuzi (credit to them).

Halikadhalika kwenye hili la mkurugenzi wa Mafia credit ziwaendee na wengine pia ‘Boniface Jacob’ kwa kulileta hadharani, Dr Gwajima kwa kuhakikisha linafika juu na ‘bi-tozo’ kwa kuchukua hatua.

Maamuzi kama haya ya raisi yanatoa morale kwa wasaidizi wake kuongeza bidii za kazi, kwa hivyo ‘bi-tozo’ nae apewe maua yake.

Dr Gwajima cares, angebaki afya alipo specialise angefanya makubwa zaidi kuboresha huduma. Anajua regulations zote za afya medical procedures and services provisions; umuongepei kwa lolote.

Akikuta ata choo kichafu anajua kinatakiwa kusafishwa mara ngapi kwa siku (mara nyingi kila saa au mawili) na nani anatakiwa kutunza evidence kuhakikisha kazi. Achilia mbali huko mbele kwenye medical delivery and resource management.

Umuongopei kwenye afya kama angebaki.
 
Gwajima sio mwanasiasa waliopendekeza apewe uwaziri wa afya walishaona anakitu na kulisaidia taifa akiwa kwenye maamuzi,

Halikadhalika kwenye hili la mkurugenzi wa Mafia credit ziwaendee na wengine pia ‘Boniface Jacob’ kwa kulileta hadharani, Dr Gwajima kwa kuhakikisha linafika juu na ‘bi-tozo’ kwa kuchukua hatua.

Maamuzi kama haya ya raisi yanatoa morale kwa wasaidizi wake kuongeza bidii za kazi kwa hivyo ‘bi-tozo’ nae apewe maua yake.

Dr Gwajima cares, angebaki afya alipo specialise angefanya makubwa zaidi kuboresha huduma anajua regulations zote za afya medical procedures and services provisions; umuongepei kwa lolote. Akikuta ata choo kichafu anajua kinatakiwa kusafishwa mara ngapi na nani anatakiwa kutunza evidence achilia mbali huko mbele kwenye medical delivery processes.
shida ya nchi yetu ipo hapo yani wanapo gawana vyeo wanasahau kutoa vyeo kwa watu sahihi... eti dokta anapelekwa kwenye sheria... mwanasheria anapelekwa kwenye ardhi na mipango miji... yani ni mchanganyiko wa hovyo sana​
 
Dr. Gwajima wa Magufuli na huyo wa sasa ni watu wawili tofauti.

Gwajima wa sasa anatumia akili yake kama msomi na mama. Gwajima wa Magufuli alikuwa mwanasiasa na kufanya kazi kwa mihemko.

Huyu mama kwa sasa ni moja ya mawaziri ninaowaheshimu na kuwakubali mno japo nilimnanga sana hasa kipindi cha Corona na maigizo ya nyungu.
 
Gwajima sio mwanasiasa waliopendekeza apewe uwaziri wa afya walishaona anakitu cha kulisaidia taifa akiwa kwenye maamuzi (credit to them).

Halikadhalika kwenye hili la mkurugenzi wa Mafia credit ziwaendee na wengine pia ‘Boniface Jacob’ kwa kulileta hadharani, Dr Gwajima kwa kuhakikisha linafika juu na ‘bi-tozo’ kwa kuchukua hatua.

Maamuzi kama haya ya raisi yanatoa morale kwa wasaidizi wake kuongeza bidii za kazi kwa hivyo ‘bi-tozo’ nae apewe maua yake.

Dr Gwajima cares, angebaki afya alipo specialise angefanya makubwa zaidi kuboresha huduma anajua regulations zote za afya medical procedures and services provisions; umuongepei kwa lolote.

Akikuta ata choo kichafu anajua kinatakiwa kusafishwa mara ngapi kwa siku (mara nyingi kila saa au mawili) na nani anatakiwa kutunza evidence kuhakikisha kazi. Achilia mbali huko mbele kwenye medical delivery processes and resource management.

Umuongopei kwenye afya angebaki
Mkuu bi tozo ndiyo nani??😄

Ova
 
Nachompendea huyu Aunt ni uwezo wake wa kufuatilia mambo kwa ukaribu, of course kipindi kile cha Corona kuna mambo alichemka kama binadamu lakini kwa sasa anafanya kazi ambayo inatakiwa kupongezwa.

Dkt. Gwajima D akili alikuwa nayo basi tu alikuwa na Naibu kilaza ambaye ameendelea kuwa kilaza kwenye mambo mengi anayoyafanya mpaka sasa tofauti na Dkt. Gwajima D ambaye yeye amejifua na kujifunza kuwa smart.

Napendelea utendaji wake wa sasa ambao hauna kelele ila tu una kishindo. anafuatilia kila jambo kwa umakini na pasipo kuwa na kelele.

Nimeangalia hata humu ndani kunapokuwa na jambo hasiti kujitokeza na kujumuika Jukwaani bila woga. Mawaziri na Wabunge wengi hupaogokwa JF na wengi walikimbia baada tu ya kupata vyeo au nafasi mbalimbali. Huyu amekuwepoo na anashiriki debates pasipo woga kabisa.

Mimi naona ni mtu anayefaa sana kuendelea kuwa kiongozi kwa kuwa ana tabia ya kufuatilia jambo kwa kina na majibu ambayo anayatoa sasa mara nyingi ni ya kitaalamu na si ya kisiasa.

Tuendelee kumsadia kwa kumshauri na kumkosoa pale inapobidi ili mambo yaweze kwenda sawa kwa upande wake na kuendeleza uchapaji kazi mzuri.

Pia soma PONGEZI: Utenguzi wa Mkurugenzi Mafia Ili kupisha Uchunguzi, Pongezi ziende kwa Dkt. Dorothy Gwajima. Kiukweli kwenye hili amejituma sana
Kipindi cha korona haku chemsha kwasbabu za kibinadamu, hiyo ndio tabia yake au alivyo. Lazima tufike mahal tuache ku excuse incompetent behaivours kwenye ngazinza maamuzi. Hii itatuenpusha kupata viongoz wenye mihemko
 
shida ya nchi yetu ipo hapo yani wanapo gawana vyeo wanasahau kutoa vyeo kwa watu sahihi... eti dokta anapelekwa kwenye sheria... mwanasheria anapelekwa kwenye ardhi na mipango miji... yani ni mchanganyiko wa hovyo sana​
Shida ni siasa na madaraka ya raisi, huko serikalini kwenye succession planning yao walimpandisha kutoka kwenye ‘service delivery’ kwa hatua mpaka wanapoweza mkurugenzi wa tiba.

Kwenda juu sasa kuwa katibu mkuu, waziri au post nyingine nje ya wizara ni raisi na team yake.

Magufuli alimpeleka kuwa naibu katibu mkuu TAMISEMI afya ndipo tulipomjua uwezo wake. Baadae akampa uwaziri afya.

Kuna wanasiasa walikuwa wanaililia hiyo nafasi walipopata fursa wakapiga majungu yao akatolewe (yeye sio anae loose) bado mmbunge na waziri, wanao loose ni ‘services users’ wa huduma za afya.

Huko juu kwenye siasa ndio kuna shida ila succession planning ndani ya serikali binafsi nimejiridhisha ipo makini ukiwasikiliza wataalamu wao.
 
Gwajima sio mwanasiasa waliopendekeza apewe uwaziri wa afya walishaona anakitu cha kulisaidia taifa akiwa kwenye maamuzi (credit to them).

Halikadhalika kwenye hili la mkurugenzi wa Mafia credit ziwaendee na wengine pia ‘Boniface Jacob’ kwa kulileta hadharani, Dr Gwajima kwa kuhakikisha linafika juu na ‘bi-tozo’ kwa kuchukua hatua.

Maamuzi kama haya ya raisi yanatoa morale kwa wasaidizi wake kuongeza bidii za kazi kwa hivyo ‘bi-tozo’ nae apewe maua yake.

Dr Gwajima cares, angebaki afya alipo specialise angefanya makubwa zaidi kuboresha huduma anajua regulations zote za afya medical procedures and services provisions; umuongepei kwa lolote.

Akikuta ata choo kichafu anajua kinatakiwa kusafishwa mara ngapi kwa siku (mara nyingi kila saa au mawili) na nani anatakiwa kutunza evidence kuhakikisha kazi. Achilia mbali huko mbele kwenye medical delivery processes and resource management.

Umuongopei kwenye afya angebaki
Kwenye Afya kuna bajeti kubwa na mengineyo, hivyo wataalamu wa Kula Kwa urefu wako waliona hatofa hapo
 
shida ya nchi yetu ipo hapo yani wanapo gawana vyeo wanasahau kutoa vyeo kwa watu sahihi... eti dokta anapelekwa kwenye sheria... mwanasheria anapelekwa kwenye ardhi na mipango miji... yani ni mchanganyiko wa hovyo sana​
huwa inafanywa kimkakati ili kumfanya awe tegemezi pia kwa wenzie. wakiamini akiwa katika eneo lake alilo specialize huwezi pia mdanganya au fanya naye siasa.so anapelekwa sehemu ambayo hana ujuzi nao wa kutosha. usishangae Dr gwajima anapewa wizara ya viwanda na biashara au wizara ya ulinzi.
 
Back
Top Bottom